Alipokuwa na dhamana ya uongozi ni siku nyingi, na hata JF haikuwepo sasa hivi tunamjadili kwenye JF. Kila kitu kina wakati wake, kuna kuvuna, panda, kulia, kucheka n.k
Hata yeye anawaandama watu kwa wakati tofauti, haanzi nao toka wanazaliwa??
Kuwa makini bwana!