mimi nashangaa sana watanzania na ujinga wetu wa kujifanya tunajali haki za binadamu za kutobaguana,
hao jamaa ni wahindi full stop, ukisema watu wenye asili ya asia hakuna mtu atakejua aidha ni mchina au mphilipino,
dunia nzima unapokwenda citizens first, na uwezi ukasema citizens first bila kupractize ubaguzi, fika kenya, rwanda, SA, hata US kwenyewe ni ubaguzi ambao wao wanaita ni uzalendo lakini hapa ukiongelea wahindi mafisadi unaambiwa ni ubaguzi wa rangi, nadhani muda umeshafika wa kurudia ule uzalendo wetu
we ulishaona wahindi wangapi wanajeshi au polisi hapa tanzania, kwa idadi yao hapa tanzania labda ni asilimia 0.0001,
kwa kifupi hao jamaa walikuja kazini na kuna uwezekano mkubwa ni mauaji ya kuzurumiana au ni kazi ya usalama wa taifa baada ya kujua nyendo zao