Forums
Trending
New Posts
Log in
Register
Style variation
System
Light
Dark
Trending
Search
Search
Search titles only
Note
By:
Latest activity
Register
Our Community
JamiiCheck
FichuaUovu
Stories of Change
Start Discussion
Coming Soon
JamiiCourses
JamiiData
JamiiShop
Premium Content
Regional Communities
Coming Soon
Tanzania
Uganda
Kenya
Rwanda
DRC
Zambia
Zimbabwe
Menu
Log in
Register
Navigation
More options
Style variation
System
Light
Dark
Contact us
Close Menu
JavaScript is disabled. For a better experience, please enable JavaScript in your browser before proceeding.
You are using an out of date browser. It may not display this or other websites correctly.
You should upgrade or use an
alternative browser
.
kehesa maro
Recent content by kehesa maro
K
Watumishi wa serikali wengi ni wanafiki
mada ni nzuri,hata ambao hutajingia kwenye ajira tunaliona hilo,vitendea kazi wamechukua hatua gani ya msingi ya kudai.
kehesa maro
Post #8
Oct 26, 2012
Forum:
Habari na Hoja mchanganyiko
K
Mijimama kumbe nomaaa
elimu ya kujitambua ktk nyanja hizi,uchumi(tujitume),utandawazi(tutazame vitu chanya) na maadili kwa jamii nzima .
kehesa maro
Post #4
Oct 25, 2012
Forum:
Mahusiano, mapenzi, urafiki
K
Sababu ya watu kudisco
usomaji kozi unafanana isipokuwa jitihada zetu ndio chachu ya mafanikio ndugu,hata koz rahisi watu wanadisco
kehesa maro
Post #4
Oct 22, 2012
Forum:
Jukwaa la Elimu (Education Forum)
K
Msuli wa udsm ,sua,na mucco usipime
vyuo vyote wanafanzi wanasoma kwa bidii ,uzembe wa mtu ndio mavuno yake.sio chuo flani ndio kuna msuri ya kutisha.
kehesa maro
Post #25
Oct 22, 2012
Forum:
Jukwaa la Elimu (Education Forum)
K
Nailani sana heslb
tatizo viongozi wetu wamekosa uwajibikaji,hata kutoa taarifa ya msingi tatizo ni nini? nchi hamna baba,mama wala mtoto.
kehesa maro
Post #15
Oct 22, 2012
Forum:
Jukwaa la Elimu (Education Forum)
K
Fungua hapaaaa!
tatizo ni siasa ama viongozi wetu hawana utashi na nchi,ni kila wizara ikawa waziri mwenye taalamu husika nb vigezo
kehesa maro
Post #10
Oct 22, 2012
Forum:
Jukwaa la Elimu (Education Forum)
K
Tunataka elimu ya namna hii kwa watanzania
ndio hivyo vinatakiwa,lakini bila serikali kuona umuhimu wa bajeti ya elimu hatuwezi kusonga mbele nauzalendo unatakiwa
kehesa maro
Post #4
Oct 15, 2012
Forum:
Jukwaa la Elimu (Education Forum)
K
Mke wangu kanibadilikia baada ya ndoa.
eti sijala nyumban kwel! jitazame upya,nini mwelekeo wako wa ndoa kama mwanzo inakuwa hivyo? acha siasa ktk ndoajitazame
kehesa maro
Post #67
Oct 12, 2012
Forum:
Mahusiano, mapenzi, urafiki
K
Andika kwa maneno ya kiswahili namba hizi 10,0001 na 11,000..
10,001_ kumi elfu na moja ,11,000 _elfu kumi na moja elfu. umakini wa jinsi ya kuitamka ndio itasumbua watu.
kehesa maro
Post #9
Oct 12, 2012
Forum:
JF Chit-Chats and Jokes
K
wanaume wanao ni-approach hawafanani na mimi nisaidieni jamani!
emu simamia hivyo kama kwel unaona vina tija kwako na lazima uwe na mtazamo wa kuthamini na kiilewa jamii inavyobadilika
kehesa maro
Post #128
Oct 11, 2012
Forum:
Love Connect
K
VIJANA WASOMI 'watanunuliwa'
msomi mtu gani?asiejitambua,asietumia usomi wake manufaa kwa jamii,mwenye mtazamo hasi ? hapa sio chama,bali ni upeo.
kehesa maro
Post #8
Oct 11, 2012
Forum:
Jukwaa la Siasa
K
Mimi pia natafuta mpenzi-Mwanaume
kwa nini jamii yetu imekuwa na maadili ya ambayo vigezo visivyo na tija yoyote? binafsi sina mda huo.
kehesa maro
Post #120
Oct 11, 2012
Forum:
Mahusiano, mapenzi, urafiki
K
Form 4 lavuja maswali haya hapa ya kesho
busara hainunuliwi,rafiki fikiri kabla ya kunena na jamii,kuwa mfundishaji mzuri kwa watanzania.
kehesa maro
Post #15
Oct 11, 2012
Forum:
Jukwaa la Elimu (Education Forum)
K
Mapenzi na chuo vyuo vikuu Tanzania
tatizo sio mapenzi bali kama mwanachuo unajitambua kilicho kupeleka pale na muda wako unautumiaje ama ,acheni ulimbukeni
kehesa maro
Post #11
Oct 11, 2012
Forum:
Jukwaa la Elimu (Education Forum)
K
Nahitaji mpenzi wa kiume
kwanza huna sifa za kuwa mwanamke,hata mume umeshindwa kuishi nae,kijana wa nini? pita mbali na vijana .duuuuh!!!
kehesa maro
Post #41
Oct 11, 2012
Forum:
Love Connect
kehesa maro
Our Community
JamiiCheck
FichuaUovu
Stories of Change
Start Discussion
Coming Soon
JamiiCourses
JamiiData
JamiiShop
Premium Content
Regional Communities
Coming Soon
Tanzania
Uganda
Kenya
Rwanda
DRC
Zambia
Zimbabwe
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.
Accept
Learn more…
Back
Top
Bottom
Menu
Forums
New posts
Log in
Register