kazikubwa
JF-Expert Member
- Oct 8, 2010
- 597
- 145
Katika kipindi cha Mboni Talk Show cha EATV ambacho kipo hewani sasa wanajadili mijimama inayopenda vijana wadogo (Serengeti Boys). Yupo kijana anatoa ushuhuda kuwa jimama lale halikuwa na choyo yoyote katika mapenzi alikuwa anatiririka katika mwili wa jimama bila kizuizi.
Je tutumie njia zipi ili kuwaokoa vijana wetu wasinase kwenye mitego yao.
Je tutumie njia zipi ili kuwaokoa vijana wetu wasinase kwenye mitego yao.