Utakuta mtumishi wa serikali yuko ofisini ndo kila wa kuichamba serikali akiwa kwenye ofisi hiyohiyo ya serikali ... Et serikali imechoka haifanyika ,mafisadi ni wengi, bora kwenda kufanya mambo yako binafsi kwa kutumia muda wa kazi, sijui rais jk kashindwa kazi etc... Hvi wewe mtumishi si part ya serikali si ndo wewe mmoja wa wanaofanya serikali isitekeleze majukumu yake vyema ..mbaya wanawaza piga ela tu za rushwa...
Mwisho wa mwenzi hao hao wanafiki ndo wakwanza kwenda kwenye atm kuangalia kama salary ya jk imeingia au la..
Watumishi wa umma tuache unafiki na porojo maofisini tufanye kazi tulizoajiriwa ..y private co. Wanafanya kazi kwa bidi lakini watumishi wa umma wamebaki kuwa wanasiasa.
Mwisho wa mwenzi hao hao wanafiki ndo wakwanza kwenda kwenye atm kuangalia kama salary ya jk imeingia au la..
Watumishi wa umma tuache unafiki na porojo maofisini tufanye kazi tulizoajiriwa ..y private co. Wanafanya kazi kwa bidi lakini watumishi wa umma wamebaki kuwa wanasiasa.