hawa wote walikuwa serikalini na mambo bado yalikuwa mabaya na rushwa ilikuwa kubwa,ni kwa sababu wamenyang'anywa tonge mdomoni sasa wanatapatapa,pia hawa walikuwa against kikwete na hata salim mwenyewe yuko against kikwete kwa namna moja au nyingine ni lazima watamponda kikwete,mbona wao...
mbona wabongo mnakuwa hampendi wanayofanya wenzenu,kwanini hamuwaelezi wageni wanaokuja kutalii kwetu wasiweke pesa zao badala ya kuja huku nyie mnawaona jide na Gardner tu?acheni wivu,je kwa mimi ambaye niliamua kwenda vacation makkah mtasemaje?
ni kawaida ya sanaa yoyote kuburudisha,kukosoa na kufundisha,taarabu iwe ya kisasa au ile ya zamani ni sanaa inyofanya hivyo ila taadhira ndyo inayoharibu ujumbe na maudhui yaliyomo kwenye nyimbo za taarabu,kwa mfano haya yanapotoshwa mno sehemu za uswazi kwani ni vigumu mno kwao kutafsiri...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.