Utatengeneza irrigation scheme kwa kuchimba mitaro pekee..?? Hayo maji utayaa catch vip ili uyasambaze kwenye hiyo mitaro?? Hivi ulisha wahi kuona irrigation scheme hata moja tokea uzaliwe.. acha wehu
Sent using Jamii Forums mobile app
Wanyama wengine walikuwa wanapatikana serengeti na mikumi.. so haikuwa haja ya kuwachukua wakati bongo wapo
Sent from my SM-G900H using JamiiForums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.