Naomba kujua huyu dada (Miner Spartan a.k.a Miner Muna) ana asili ya wapi

attachment.php

Moja ya wadada wanaotisha kwa urembo hapa bongo kuanzia juu mpaka chini nilibahatika kuona picha yake moja akiwa natural kabisa inaonekana kama ana asili flani hivi siyo mbantu kwa asilimia 100 ni kama vile ana ushombe shombe flani hivi.Kwa mfano angalia kwa ukaribu structure ya uso wake kwenye picha hapo juu kuanzia pua na vitu vingine
Nataka kujua tu huyu bidada ana asili gani sio kwa ubaya mtoto wa kike unapokuwa mzuri kupindukia kufuatiliwa ni jambo la kawaida inabidi uwe proud.
Miner Spartan mama umejaliwa umewaacha mbali sana akina LULU,JOKATE,WEMA,KAJALA wote hao hakuna anayekufikia hata kwa nukta.
Halafu huyu mshikaji anayemkaza huyu demu(Dullah Spartan) nampa big up madem kama hawa huwa wanaishia kwa mapedeshee tu.
attachment.php

attachment.php

Kama sura yake inakupendeza mchukue ukanywe naye chai.
 
Kweli binadam tunatofautiana mbona demu wa kawaida sana...labda kidogo shepu naweza sema amejaaliwa lakini hakuna kipya.
 
attachment.php

Moja ya wadada wanaotisha kwa urembo hapa bongo kuanzia juu mpaka chini nilibahatika kuona picha yake moja akiwa natural kabisa inaonekana kama ana asili flani hivi siyo mbantu kwa asilimia 100 ni kama vile ana ushombe shombe flani hivi.Kwa mfano angalia kwa ukaribu structure ya uso wake kwenye picha hapo juu kuanzia pua na vitu vingine
Nataka kujua tu huyu bidada ana asili gani sio kwa ubaya mtoto wa kike unapokuwa mzuri kupindukia kufuatiliwa ni jambo la kawaida inabidi uwe proud.
Miner Spartan mama umejaliwa umewaacha mbali sana akina LULU,JOKATE,WEMA,KAJALA wote hao hakuna anayekufikia hata kwa nukta.
Halafu huyu mshikaji anayemkaza huyu demu(Dullah Spartan) nampa big up madem kama hawa huwa wanaishia kwa mapedeshee tu.
attachment.php

attachment.php
Huyo kicheche Ana asili ya Rwanda
 
Huyu miner Spartan kwa jina halisi anaitwa Amina Nassoro.Ni mzaliwa wa Karagwe Kagera.Kasomea shule moja inaitwa Kayanga Primary School.Kwao wana asili ya Arabu/Oman kwan ndugu zao wengi wapo Oman including ukoo wa Kasauji.Baba yake (muda mrefu nimemuona) anaishi na kufanya shughuli zake hapo Kayanga, Karagwe

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huyu miner Spartan kwa jina halisi anaitwa Amina Nassoro.Ni mzaliwa wa Karagwe Kagera.Kasomea shule moja inaitwa Kayanga Primary School.Kwao wana asili ya Arabu/Oman kwan ndugu zao wengi wapo Oman including ukoo wa Kasauji.Baba yake (muda mrefu nimemuona) anaishi na kufanya shughuli zake hapo Kayanga, Karagwe

Sent using Jamii Forums mobile app

Ndo maana karagwe na rwanda karibu sana basi ana na dna za kagame
 
Huyu miner Spartan kwa jina halisi anaitwa Amina Nassoro.Ni mzaliwa wa Karagwe Kagera.Kasomea shule moja inaitwa Kayanga Primary School.Kwao wana asili ya Arabu/Oman kwan ndugu zao wengi wapo Oman including ukoo wa Kasauji.Baba yake (muda mrefu nimemuona) anaishi na kufanya shughuli zake hapo Kayanga, Karagwe

Sent using Jamii Forums mobile app
Pia amesoma songea st Joseph alikua wa kawaida sana anaonekana yupo juu baada ya kuanza kutoka na huyo Spartan
 
Wabongo kwa wivu WA vitu wasivyo na Hati miliki navyo bwana utasikia wa kawaida,Mara kicheche tu,kiukwel demu ni mzuri Sana tu na huyo jamaa yake ni mmoja Kati ya vijana wanaofanya biashara za madawa ya kulevya mjini hapa japo sio drug dealer wakubwa ni wale wa kutumwa na kina kinje so visenti vya kumpendezesha huyo mtoto anavyo na kumpa Bata za hapa na pale. All in all mjini hapa ukiwa na pesa nzuri huyo unakula kimyakimya then unamuachia jamaa aendelee kuuza nae sura wakat wewe ukiendelea kula wengine kimyakimya.
 
Back
Top Bottom