Naomba mnisaidie kuhusu hili

Naomba mnisaidie kuhusu hili

Inategemea uchumba wenu ni wa muda gani? Mfano umemuona binti NYUMBA Fulani ukatuma ushenga na ukakubaliwa haaaa so ndo unataka ukababue
Hapo lazima upate ugumu na ukielezwa unatulia. Lkn kama mmekutana mtaani umeimbisha na kusingizia ndoa na kukaribishana home/guest/hotel hapo Hamna kitu kolezaneni mpaka ndoa
 
Inategemea uchumba wenu ni wa muda gani? Mfano umemuona binti NYUMBA Fulani ukatuma ushenga na ukakubaliwa haaaa so ndo unataka ukababue
Hapo lazima upate ugumu na ukielezwa unatulia. Lkn kama mmekutana mtaani umeimbisha na kusingizia ndoa na kukaribishana home/guest/hotel hapo Hamna kitu kolezaneni mpaka ndoa
Thanks nimekuelewa hapo
 
Mamboz!
Naomba mchango wenu katika hili.......hivi kuna uwezekano wa mwanaume kutoshiriki tendo la ndoa na girlfriend wake mpaka pale atakapokuja kumuoa ndo wataanza rasmi kushiriki hilo tendo? Na je,ni kweli kitu kama hiki kinawezekana katika jamii yetu au kipo katika jamii yetu?
Naomba kuwasilisha

Hakuna kitu kama hicho
 
Tujuane kwanza bana...kutofanya ngono wakati una girlfriend ni uongo na ulaghai mkubwa kwa mwanaume aliyekamilika
 
Back
Top Bottom