keddo_mweusi
Member
- Feb 23, 2017
- 60
- 83
Kabati la milango miwili laki6??
Linakuja na sambusa za nyama ndani?
Sent using Jamii Forums mobile app
Kabati la milango miwili laki6??
Linakuja na sambusa za nyama ndani?
Ninyi mbona mnatuuzia naniliu kwa milioni, kunakuwaga na makinikia ndanii?Kabati la milango miwili laki6??
Linakuja na sambusa za nyama ndani?
kuna madini mleeNinyi mbona mnatuuzia naniliu kwa milioni, kunakuwaga na makinikia ndanii?
Jocking .......!
usitembee juu ya ardhi kwa majivuno

Hahahahha, sasa ninyi mnaona shida gani kununua kabati laki9!!?kuna madini mlee![]()
Rubiikimimi![]()
Bukheri...sijui weye Rubiimambo bebe
Rubiikimimi![]()
Furaha kwangu Rubii...sijambo pia
Rubiikimimi![]()
Shukran I'd yako imenikumbusha mbali sanTatizo sio sambusa za nyama, unataka kitu kizuri cha kupendeza nyumbani kwako![]()
Laki6 milango 2??Tatizo sio sambusa za nyama, unataka kitu kizuri cha kupendeza nyumbani kwako![]()

Iyo avatar kwan ndyo ww?Laki6 milango 2??
futi 6 kwa 6 au,
Rubiikimimi![]()
umeona makabati?