Recent content by kayuyuva D

  1. kayuyuva D

    Nahitaji ushauri wa haraka, moyo unauma

    Daaaaah kuna watu Wamepitia njia hatari sana, achana naye Fanya maamuzi ya kiume, MUNGU hawez kuwa upande wako kila siku
  2. kayuyuva D

    Yamenikuta: Mpenzi nikifanya naye mapenzi leo, kesho anataka tena

    Duuuuuuh hakupi hata muda wa kupumzika, Mapenzi sio vita na mueleze atakuelewa kuwa na aache kuzila
  3. kayuyuva D

    Ushauri: Nimempa mimba mwanafunzi wa kidato cha tatu

    Pole mkuuu ila mm nakushauri ukimbie kwa sasa maana kwa usawa huu utapigwa mvua 30
  4. kayuyuva D

    Naombeni ushauri nahisi nilijidanganya kwa huyu Binti

    Pole mkuuu jikaze achana naye huyo sio mwaminifu et
  5. kayuyuva D

    Naombeni ushauri nahisi nilijidanganya kwa huyu Binti

    Haha haha daah umenifurahisha Sana toka msingi ukiwapa pencil hawarudish et
  6. kayuyuva D

    Niulize chochote kuhusu Mfamasia na madawa

    Hv mtu wa CBG anaweza kusoma phamarcy?
  7. kayuyuva D

    Natafuta joining instructions ya Tukuyu school of nursing

    Daaaaah Hongera ila tukuyu baridi ila utafurahia ndizi na maziwa yapo sehemu moja Inaitwa ushirika
  8. kayuyuva D

    Zawadi ipo kwa ataeweza hili swali

    Aaaaaaaaah Sasa mm nmechoka kuitafuta x nilianza shule ya Msing had leo
  9. kayuyuva D

    Nilivyokoswa kuuawa, kaka yangu akamuua Bibi mchawi aliyemuua kaka yetu na kutoroka

    Daaaaah simulizi tamu Sana hiyo, nmeipenda visa na mikasa
  10. kayuyuva D

    Nimetokea kumpenda Miss Natafuta

    Duuh hapo kazi ipo
  11. kayuyuva D

    Nimetokea kumpenda Miss Natafuta

    Duuuh hapo kazi ipo sasa
  12. kayuyuva D

    Hahahaaaaa

    Teh..teh..et Uncle atakumeza
Back
Top Bottom