Recent content by kayuyuva D

  1. kayuyuva D

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Nahitaji ushauri wa haraka, moyo unauma

    Daaaaah kuna watu Wamepitia njia hatari sana, achana naye Fanya maamuzi ya kiume, MUNGU hawez kuwa upande wako kila siku
  2. kayuyuva D

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Yamenikuta: Mpenzi nikifanya naye mapenzi leo, kesho anataka tena

    Duuuuuuh hakupi hata muda wa kupumzika, Mapenzi sio vita na mueleze atakuelewa kuwa na aache kuzila
  3. kayuyuva D

    JamiiForums Tanzania Tofauti na hasara za kuruka nje kwa Kikwete na press conference za Magufuli

    Duuuh kazi ipo
  4. kayuyuva D

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Ushauri: Nimempa mimba mwanafunzi wa kidato cha tatu

    Pole mkuuu ila mm nakushauri ukimbie kwa sasa maana kwa usawa huu utapigwa mvua 30
  5. kayuyuva D

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Naombeni ushauri nahisi nilijidanganya kwa huyu Binti

    Pole mkuuu jikaze achana naye huyo sio mwaminifu et
  6. kayuyuva D

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Naombeni ushauri nahisi nilijidanganya kwa huyu Binti

    Haha haha daah umenifurahisha Sana toka msingi ukiwapa pencil hawarudish et
  7. kayuyuva D

    JamiiForums Tanzania Niulize chochote kuhusu Mfamasia na madawa

    Hv mtu wa CBG anaweza kusoma phamarcy?
  8. kayuyuva D

    JamiiForums Tanzania Natafuta joining instructions ya Tukuyu school of nursing

    Daaaaah Hongera ila tukuyu baridi ila utafurahia ndizi na maziwa yapo sehemu moja Inaitwa ushirika
  9. kayuyuva D

    JamiiForums Tanzania Zawadi ipo kwa ataeweza hili swali

    Aaaaaaaaah Sasa mm nmechoka kuitafuta x nilianza shule ya Msing had leo
  10. kayuyuva D

    JamiiForums Tanzania Nilivyokoswa kuuawa, kaka yangu akamuua Bibi mchawi aliyemuua kaka yetu na kutoroka

    Daaaaah simulizi tamu Sana hiyo, nmeipenda visa na mikasa
  11. kayuyuva D

    JamiiForums Tanzania Nimetokea kumpenda Miss Natafuta

    Duuh hapo kazi ipo
  12. kayuyuva D

    JamiiForums Tanzania Nimetokea kumpenda Miss Natafuta

    Duuuh hapo kazi ipo sasa
  13. kayuyuva D

    JamiiForums Tanzania Kama waliohukumiwa kunyongwa hawatanyongwa mauaji yataongezeka

    Duuuh , kunyonga mtu haiko pouwa sanaaa
  14. kayuyuva D

    JamiiForums Tanzania Hahahaaaaa

    Teh..teh..et Uncle atakumeza
Back
Top Bottom