Kweli hizo ndio zinachangia simu kupata joto coz cpu inakua inarun many proceses at a time. Mi natumia app inaitwa "shutapp" kuzistop na imesaidia japo still nkirun apps nyingi kwa wakati mmoja especially zinazotumia internet huwa simu inapata moto.
Soma kitu moyo wako utapenda unaeza kutafuta course na kusoma, ambayo wengi wamekushauri lakin mbeleni ukajikuta unatamani kuiacha kwasababu sio kitu unachokipenda.
Pia kesho yako anaijua Mungu wewe hangaikia leo ambayo unayo.
Huyo ambae hajajifunza/hajasoma hadi leo unadhani anayo nia ya kufanya mtihani kweli?? Sasa hivi ni muda wa kuongeza ujuzi kwa kufanya maswali mengi sio kuanza kujifunza
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.