Insider Boy
Member
- Aug 5, 2015
- 82
- 185
Habarini wakuu,
Nina mtaji wa milion 7 nataka nianzishe biashara ya hardware, naomba kwa wazoefu wa biashara hii wanijuze wapi naweza pata location nzuri kwa Mkoa wa DSM na kwa mtaji huo ninaweza kuspecialize na vitu gani kwa kuanzia.
Ahsanteni, nasubiri feedback kutoka kwenu wazoefu wa biashara hii.
Nina mtaji wa milion 7 nataka nianzishe biashara ya hardware, naomba kwa wazoefu wa biashara hii wanijuze wapi naweza pata location nzuri kwa Mkoa wa DSM na kwa mtaji huo ninaweza kuspecialize na vitu gani kwa kuanzia.
Ahsanteni, nasubiri feedback kutoka kwenu wazoefu wa biashara hii.