Unayo pesa ngapi maximum?Wakuu ninataka mwezi huu nipate kausafiri.. sasa nimeingia beforwad naona gari nzuri tu ila hata hii website ya kupatana naona Alteza afu bei nyepesi nyepesi. msaada wenu jamani
nina milioni 9 mzee; wi-fi hebu ni advice as your friendUnayo pesa ngapi maximum?
mkuu haya ni maswali ya dharuraKwakwekili, mbongo mpaka amiuzie kitu, inabidi nikichunguze vzr
carina hapana, nilitaka nichukue verosa lkn nkapenda alteza koz gari iko simple sio luxurie sana mkuu; but thanksChukua carina
Kwa 9 unapata mkononi.. kama alivosema mshana jr hapo juu siku hizi watu wanazikimbia labda ni ulaji wa mafuta ila kama hutojali mafuta basi we chukua.. kama hupo Dsm na utakuwa unatumia gari kila siku nakushauri chukua ISTnina milioni 9 mzee; wi-fi hebu ni advice as your friend
Wese kaka.Ila wengi wanazikimbia siku hizi sijui tatizo nini
Limeshuka beiWese kaka.
Watu wengi walinunua Altezza kichwa kichwa bila kujua kwamba zimetofautiana engine size. Mtu anataka tu altezza bila kujua Altezza zina engine aina tatu tofauti. Ukiona wengi wanazikimbia jua kanunua yenye engine kubwaLimeshuka bei