Uwanja wa Taifa DSM ni mzuri ila (a) unashushwa hadhi yake na uwanja wa uhuru unaoingiliana nao. (b) unaufanya uwanja wa uhuru uonekane kama si mali kitu! Hivi wasanifu wa huo uwanja hawakuligundua hilo kabla ya kuamua mahali pa kuujenga?
Kwa kawaida kila siku asubuhi kuanzia saa 12, kuna foleni kuanzia Segerea hadi barabara kuu(Mandela). Kutokana na foleni hiyo, utakuta magari ya Serikali ya STK.. yanatanua tena kwa spidi! Leo asubuhi lilianza basi la Mahakama Kuu, lilichomoka pale Kristu Mfalme. Kabla ya kufika njia panda ya...
Haya, posts zote hakuna hata moja imejilekeza kwenye hoja ya mleta mada!! Ni Lowasa msafi, Lowasa fisadi, mara kinyesi kutokea mdomoni! Simply simplistic! Mchana mwema nimechoka kuhubiri, weye masikio na wasikie.
Ungejua kuwa wengine Lowasa angepitishwa na CCM kugombea urais tusingepiga kura, usingesema hayo. Mimi ninachotetea, tujadili mada. Mada tuliyonayo ni ya Mbabazi kujilinganisha na Magufuli. Aliyeleta mada anaongelea hilo hilo na anamalizia, "Nini Maoni yako ?". Hivi wengine tumesoma shule wapi...
Haya, Serikali ikiingilia tu, mawakili watapigana vikumbo the Hague! "Magufuli asulubiwe, anavunja haki za binadamu, anaingilia uhuru wa kuabudu...". Si wanajipeleka wenyewe? Wanatafuta urahisi katika miujiza? Mungu alitupenda mno akatupa uhuru wa kuchagua. Ukimchagua yeye na kumuamini...
Yaani mimi naudhika mtu anaposhindwa kujielekeza kwenye mada anaibua ya kwake. Mbabazi anajilinganisha na Magufuli kwa vile Mhe. Magufuli ni Rais naye amependa utendaji wake. Hakujiita yeye ni Magufuli wa Uganda wakati Magufuli anagombea. Atajiitaje yeye ni Lowasa waTanzania wakati Lowasa sio...
Si shule hiyo peke yake. Zipo shule binafsi hapa Dar zimechangisha wazazi kujenga ukuta, kupanua au kuongeza madarasa n.k. Uzuri wazazi wa siku hizi si wanawapenda saana watoto wao wasipate taabu. Tunachanga! Lakini hii ni capital investment kwa mwenye shule. Ataongeza idadi ya wanafunzi...
Udikteta anao na dharau pia. Fikiria mtu hajawa Rais anatamka kuwa akiwa Rais wa USA atamkamata Uhuru Kenyata, Rais wa Kenya na kumfunga kutokana na yeye kwenda Ufaransa na msururu wa watu akiwemo mwanae. Asipomkamata anavamia Kenya? Ya Bush na Iraq!
Trump ni headache hata kwa NRC waliomkubalie aingie katika kinyanyanganyiro cha uteuzi kupitia Republican. Ulaya hataki akanyage kwao. Amewachefua Waislamu karibu dunia nzima.Tatizo, Trump mdomo wake hauna speed limit!
Trump ni headache hata kwa NRC waliomkubalia ajitose kugombea uteuzi kupitia Republican. Ulaya usideme, hawataki kusikia jina lake! Kawachefua Waislamu hata waliomo Marekani. Tatizo mdomo wake hauna speed limit.
Mi nadhani isiwe tabu MZK. Kama ulikuwa unalipa deni la mkopo kupitia mwajiri kuna uthibitisho wa makato wapelekee. Kama ulikuwa unalipa Bodi ya Mikopo wewe mwenyewe una risiti zao waonyeshe. Wakikukatalia wapeleke kwa Pilato. Labda kama unanogesha gumzo jamvini!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.