ndg yng mawazo ya humu sio kwa ajiri ya mtu moja na kwa mtazamo wangu huu ushauri huwa unaishi siku zote ndo maana unaweza kuta uzi wa kitambo lakini ukawa msaada mkubwa sana
safi sana wacha akili zituvie tulifikiri sifa kupanda nyanya matunda tuvune maembe,maneno ya mwl yametimia serikali ya legelege haikusanyi kodi hata ikikusanya inakusanya kwa watu wa chini ndo maana mpaka leo inashindwa kukusanya kodi kwenye gesi,migodi,uvuvi bahari kuu,makampuni ya...
kilichomliza ni binti yake kaondoka kakosa neema na alivyohangaika kupanda mti,ila miaka yote wananchi walivyokuwa wanahangaika yeye wala hakuona tatizo!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.