Serikali yafuta ongezeko la kodi mbalimbali

Serikali yafuta ongezeko la kodi mbalimbali

safi sana wacha akili zituvie tulifikiri sifa kupanda nyanya matunda tuvune maembe,maneno ya mwl yametimia serikali ya legelege haikusanyi kodi hata ikikusanya inakusanya kwa watu wa chini ndo maana mpaka leo inashindwa kukusanya kodi kwenye gesi,migodi,uvuvi bahari kuu,makampuni ya simu,mishahara ya wabunge n.k
 
Hahahahahaaaahaha. ndiyo Tanzania yetuhatuna lakufanya ila ni kutumia ballot box vizuri hapo 2015.
Wataangalia kitu kinacholiwa au kunywewa zaidi na kukipandishia kodi, huku madili yakichukuliwa bure bila kodi!
 
Ni kuwa zile kodi mpya za mafuta , isipokuwa ile ya fuel levy ambayo ni shilingi 50 per litre haikuondolewa ila zile nyingine za mafuta zimeondolewa ktk mswada wa sheria ya fedha, hiyo ya fuel levy ni kwa ajili ya kupeleka nishati vijijini kupitia REA , sheria ya fedha imepitishwa muda huu.

Mkuu, kuna lolote limeongelewa kuhusu PAYE?
 
Na kuanzia July mosi huo mziki wa bima za magari haufai! Eti lori la canter au kitipa cha mchanga nilichokuwa nalipia 80,000 third party sasa natakiwa kiulipia 750,000! kwa mwaka! Hapa serikali ya CCM imegusa watu wa kati ambao ndio wengi tunaoibeba!

Ngoja kodi iwachape ndo mjue CCM hizo pesa wanapeleka wapi. Sisi Wafanyakazi tunakatwa kodi kubwa bila kubisha!
 
Haya madini vipi jamani mbona hayasaidii kitu kabisa,kwa nni yasiachwe kuchimbwa ili mradi kizazi kijacho chenye watu wenye akiri timamu kije kifaidike nayo?.serikali ielekeze nguvu nyingi kwenye kusisitiza watu wanywe pombe zaidi na zaidi ili ipate mapato mengi zaid na zadi!!!!.
 
Hawa mburula hawajui one cardinal point ya kutoza kodi nayo ni; THE TAX SHOULD BE AFFORDABLE FOR THE TAXPAYERS TO PAY.!!! Ama sivyo wataikwepe hiyo kodi na serikali itakosa mapato!!! Mfano mzuri ni kodi za magari zinapandishwa kila leo na ingawa magari ni mengi barabarani lakini mapato kutokana na magari hayo yamepungua!!!! Sasa wamepandisha viwango vya bima za magari hapo ndio wameliwa kwani wengi wataendesha magari bila bima!!!!
 
Sio kweli mkuu,kwamba kuongezeka kwa kodi ya bima eti itakuwa kigezo cha watu kutolipa bima kweli? Hapana kwani bima kwa usalama wako wewe mwenye gari,Dreva na mtu utakaemsababishia ulemavu wa kudumu,pamoja na usalama wa chombo husika.
 
Sio kweli mkuu,kwamba kuongezeka kwa kodi ya bima eti itakuwa kigezo cha watu kutolipa bima kweli? Hapana kwani bima kwa usalama wako wewe mwenye gari,Dreva na mtu utakaemsababishia ulemavu wa kudumu,pamoja na usalama wa chombo husika.

Ndio hivyo wenzetu ati ukijilipia bima ni tatizo wakati ni for your own protection...
 
Tunaokaa hapa kwenye keyboard ndio tunajua yote haya ya bajeti, je huwa tunafikiriaje kule upande wa pili wa wale wasio na keyboard?? watajuaje haya yanayoendelea??
 
Mgimwa anasema baada ya kubanwa sana jana serikali imeamua kuondoa ongezeko la kodi iliyokuwa imependekezwa kwenye mafuta .

mtakumbuka michango ya wabunge makini Mdee, Mnyika , Lissu jana , imewafanya kuondoa ongezeko hilo.

Jiridhishe tu lakini ukweli ni kuwa mjadala bajeti ya Mgimwa ulifungwa Chadema wako msibani wa jana waiikuwa wanaropoka tu.
 
Jamani ogopeni viongozi wanaofikiria kuwa maisha yao yote wapo kwenye siasa tu.....Wanachowaza ni POSHO za vikao na ufisadi...
 
Hapo kwenye red mkuu ulikuwa na maana ya madini au?

Asante mkuu kwa sahihisho nilikuwa na maana hiyo hiyo ngoja ni edit mkuu!!nilikuwa nawahi kwa mama muuza!!si unajua weekend tena!!
 
Back
Top Bottom