kweli kabisaSitafutii mtu kiwanja humu wengi ni magumashi ni wafanya reseach tu hawana lolote hata ukimwambia kuna heka moja ununio inauzwa mil10 atakwambia subiri next week then ndio imetoka! Wewe kama unataka kiwanja weka size unayotaka na bajeti yako kama kweli unahtaj lzm utakuwa na bajeti uliyopanga ozawize usijaze seva za jf.