Nahitaji kiwanja Dar!

Nahitaji kiwanja Dar!

Sitafutii mtu kiwanja humu wengi ni magumashi ni wafanya reseach tu hawana lolote hata ukimwambia kuna heka moja ununio inauzwa mil10 atakwambia subiri next week then ndio imetoka! Wewe kama unataka kiwanja weka size unayotaka na bajeti yako kama kweli unahtaj lzm utakuwa na bajeti uliyopanga ozawize usijaze seva za jf.
kweli kabisa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom