2350mAh bado ni simu ya kusifia kweli kwa upande wa kukaa na chaji!!?, L8 ilikuwa na 5050mAh na L9 ina 5000mAh hapo nitaunga mkono, muda wote hutozima data na utacheza games bila wasiwasi
Hiyo haijawahi kuwa namna ya uendeshaji wa mpira, japo inaweza kuwa ubunifu katika mpira
Oddly enough, people on the Internet are more real than people in real life. The ability to act anonymously makes us much more genuine.
Wanawake wameona leo iwe siku ya kusema mabaya tu ya wababa ili siku yetu isifanikiwe, jaribuni kuona mazuri ya baba zenu na msahau mabaya ya michepuko yenu
Tukiachia mbali tuhuma za Bashite,
Mtu ambaye huwa simuamini kabisa ni Ruge, ni kwanini wengi wa wanaofanya nae kazi kwa karibu huishia kulalamika kudhurumiwa!?
Ila anajua kuongea vizuri aisee na anashawishi sana unapomsikiliza
Sina hakika sheria inasemaje juu ya hilo ila naomba kuuliza, kama sifa za kusoma degree moja kwa moja unazo, kwanini unataka na diploma tena kwa wakati mmoja!?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.