Lusungo
JF-Expert Member
- Jan 4, 2014
- 27,126
- 39,342
Awali alijitapa serikali yake ina mahela jana anakiri watu wanakufa kwa kukosa dawamwenyewe anasema bora mda wake ungeisha hata leo.
Sikuhizi simsikii akiwapa matumaini ya maisha bora watanzania kama ilivyokuwa awali. Siku hizi ni kusikitika na kutishia tu