Recent content by Kashai

  1. K

    JamiiForums Tanzania Babati kila MWANAMKE ni mzuri ndugu zangu njooni muoe huku

    Tulikuwa Nao wengi Chuo, Ni wazuri kweli ila Umalaya Sasaa 🙌 ,, Na wakikuelewa Wanakutongoza, Nilitongozwa na Mabinti Wanne kutoka Babati, Watatu nilikuwa nao Mwaka wa 2, Mmoja 1st Year. inshort Hakuna MKE Kulee....
  2. K

    JamiiForums Tanzania Nafasi za kazi mbalimbali - 2026 Mega thread

    Seran Mimi Nitafutie za Usafi na Laundry Kiingereza kinapanda Fresh hivyo hata Sehemu za wageni Naweza Fanya.
  3. K

    JamiiForums Tanzania Kisa: Nilivyowahi maishani

    Subscribed......✍️
  4. K

    JamiiForums Tanzania Naombeni hekima zenu

    Brother Mimi Nina imani AJIRA nitapata tuu... Na Ukiwa Mwanaume uwe na Uwezo wa kuona Mbele, Haya Vipi Angeshika Ujauzito Na Baadae sote tutengane !? Si Mngesema Nimeleta singo Maza !?? Halafu kumbuka sisi sote tumesoma Mtaala huu Mpya, Halafu kumbuka Walimu wa Primary Huajiriwa sana Kuliko...
  5. K

    JamiiForums Tanzania Naombeni hekima zenu

    Jana Rasmi Nimeachana na Mpenzi wangu, huyu Binti Tulipendana sana Wakati tupo Chuo, Mimi nikiwa Mwaka wa Pili, yeye wa kwanza, Sote Tumesoma Diploma. Mimi ni introvert hivyo huwa napenda sana kutafakari Sana Mambo, Hivyo Jana Nikaona Nimuulize ikitokea sote Tukapata AJIRA Serikalini Mahusiano...
  6. K

    JamiiForums Tanzania Kujifunza Photography

    Sina kitu kaka ndo naanza maisha...
  7. K

    JamiiForums Tanzania Kujifunza Photography

    Asantee, ila simu yangu Uwezo Mdogo Sana. Ngoja nitafute Studio nianze Kujifunza na kujitolea kama Alivyonishauri Real Mamy hapo chini.
  8. K

    JamiiForums Tanzania Kujifunza Photography

    kwa kutumia Camera
  9. K

    JamiiForums Tanzania Kujifunza Photography

    Wakuu Habari za Uzima, Wapi naweza Nikapata Sehemu ya Kujifunza Kupiga Picha "Photography" !? Sina Pesa ya kujifunzia ila nikipata Mfadhili au Sehemu ya kujifunzia Bure Nitashukuru, Nimeona niwe na Ujuzi Mwingine Wa Photography Wakati huu natafuta kazi ya Ualimu. Mungu Awabariki.
  10. K

    JamiiForums Tanzania Nataka nianze kubeti

    Nami Nilikuwa Nafikiria Hivyo, ila Location ya kufungua tuition ndo bado Natafuta. ila kuna Tuition ipo pale Buguruni nimeomba Ndo nasubiri Waniite kazi ikipatikana.
  11. K

    JamiiForums Tanzania Nataka nianze kubeti

    Nasubiri Nikachukue Cheti chuo.
  12. K

    JamiiForums Tanzania Nataka nianze kubeti

    kwa Primary Level ni Masomo Yote, ila kwa Secondary Masomo Ya Arts ila English na History nipo Vizuri Sanaa 😊.
  13. K

    JamiiForums Tanzania Nataka nianze kubeti

    Kuuza Drugs, Ujambazi, Hizo Sio kazi Halali,
  14. K

    JamiiForums Tanzania Nataka nianze kubeti

    Mimi ni Mwalimu wa Primary,
  15. K

    JamiiForums Tanzania Nataka nianze kubeti

    kazi yoyote ya Halali Dada Yangu nipo Tayari kufanya.
Back
Top Bottom