secretarybird
JF-Expert Member
- Aug 22, 2024
- 21,059
- 42,834
Nikikutana na kesi kama hii huwa nabaki kuangalia tu! šKama hekima za ukataji mauno ingekuwa vema dogo The Icebreaker aje atoe ufafanuzi mwanana je ina stahili?
secretarybird
Nikikutana na kesi kama hii huwa nabaki kuangalia tu! šKama hekima za ukataji mauno ingekuwa vema dogo The Icebreaker aje atoe ufafanuzi mwanana je ina stahili?
secretarybird
Brother Mimi Nina imani AJIRA nitapata tuu... Na Ukiwa Mwanaume uwe na Uwezo wa kuona Mbele, Haya Vipi Angeshika Ujauzito Na Baadae sote tutengane !? Si Mngesema Nimeleta singo Maza !?? Halafu kumbuka sisi sote tumesoma Mtaala huu Mpya, Halafu kumbuka Walimu wa Primary Huajiriwa sana Kuliko Secondary.Mkuu hata Ajira yenyewe hamjapata mnatengana kwa sababu ya Ajira ambayo haipo?
Wewe na yeye nyote vilaza tu