Yaani yule Mwamnyeto daah.Leo kitakacho tuponza yanga ni Mabeki
Yaani yule Mwamnyeto daah.Leo kitakacho tuponza yanga ni Mabeki
Yanga 4-1 SimbaWakuu simba sc anamfunga mtani wake leo, sina maneno mengi 1-2 ft
Huu usajili wa Yanga ukiwa ni mzuri basi tutapata matokeo, natamani winga ya kushoto iwe nzuri.Simba hana timu ya kumfunga Yanga! Doumbia haoni lango huwa anaokoa! Simba hawana mtu wa kumdhibiti Shalulile! Hawana timu ya kumdhibiti Zoukouani asilete madhara langoni!
Striker amebaki osmien ataaza nani otherwise wataforce mpanziOsmen hawezi kuanza leo, sidhani kama ataingia hata Sub.
KMC siyo KCMCWachezaji wakubwa wanaweza kufanya lolote wanaposajiriwa kwenye Timu mpya naona mnawadharau wakina Shalulile na Albert Kangwanda na huyu dogo kiungo kutoka KCMC haya ngoja tuangalie boli mtarudi tena hapa...
Watu wa mpira kubadilika ni rahisi sana baada ya gemu kuona..
Simba alikuwa na maingizo mapya mengi kwenye ile mechi, lakini Yanga alianza na wachezaji wake wale wale ambao chemistry ilikuwepo tayari kati yao ni kwa namna flani ilikuwa advantage kwa Yanga kushinda ile mechiMsimu uliopita
Yanga kocha alikuwa mpya roman folz, Simba kocha alikuwepo na timu muda fadlu lkn bdo alifungwa simba
Yanga bingwaIla kiukweli ukitazama vitu flan vidogo vidogo (japo vinaweza kuwa na impact) simba wana advantage zaid ya kushinda kuliko Yanga.
Kocha wao ni yule yule ambaye kshamfunga Yanga na kusuluhu mae
KIkosi chao ni kile kile maboresho si makubwa sana ambacho kilimpa matokeo
Mengine yanayobaki ni ya nje ya uwanja labda kama yanaweza leta shida. Ila ndani ya uwanja, simba nampa benefit of doubt kuliko chama langu Yanga
Kwani mechi iliyopita striker alianza nani?Striker amebaki osmien ataaza nani otherwise wataforce mpanzi
Hizi porojo huwa mnazitoa wapi, huyo kocha wa simba alipokuta na yanga kwa mara ya kwanza yanga walikuwa hawana kikosi chao chote Cha misimu iliyoisha?.Ila kiukweli ukitazama vitu flan vidogo vidogo (japo vinaweza kuwa na impact) simba wana advantage zaid ya kushinda kuliko Yanga.
Kocha wao ni yule yule ambaye kshamfunga Yanga na kusuluhu mae
KIkosi chao ni kile kile maboresho si makubwa sana ambacho kilimpa matokeo
Mengine yanayobaki ni ya nje ya uwanja labda kama yanaweza leta shida. Ila ndani ya uwanja, simba nampa benefit of doubt kuliko chama langu Yanga
Yanga ya Bakuli tia majitiamaji hakiwa kufungwa na Simba Leo hii yanga iliyo na vikosi viwili vyote vizuri!!.Hilo hata yanga wanalijua...
Yanga hana uwezo wa kumfunga Simba kwa siku za karibuni.
Baada ya mechi ufungue JF...Yanga ya Bakuli tia majitiamaji hakiwa kufungwa na Simba Leo hii yanga iliyo na vikosi viwili vyote vizuri!!.
Hii mechi Simba anakufa kipndi Cha kwanza.
SawaHizi porojo huwa mnazitoa wapi, huyo kocha wa simba alipokuta na yanga kwa mara ya kwanza yanga walikuwa hawana kikosi chao chote Cha misimu iliyoisha?.
Vipi Mwalimu anacheza au hachezi?Wakuu simba sc anamfunga mtani wake leo, sina maneno mengi 1-2 ft