Yanga anafungwa leo

Yanga anafungwa leo

Simba hana timu ya kumfunga Yanga! Doumbia haoni lango huwa anaokoa! Simba hawana mtu wa kumdhibiti Shalulile! Hawana timu ya kumdhibiti Zoukouani asilete madhara langoni!
Huu usajili wa Yanga ukiwa ni mzuri basi tutapata matokeo, natamani winga ya kushoto iwe nzuri.
 
Wachezaji wakubwa wanaweza kufanya lolote wanaposajiriwa kwenye Timu mpya naona mnawadharau wakina Shalulile na Albert Kangwanda na huyu dogo kiungo kutoka KCMC haya ngoja tuangalie boli mtarudi tena hapa...
Watu wa mpira kubadilika ni rahisi sana baada ya gemu kuona..
KMC siyo KCMC
 
Kweli embu tuonyeshe arajiga
 

Attachments

  • FB_IMG_1786530348642.jpg
    FB_IMG_1786530348642.jpg
    58.3 KB · Views: 6
Msimu uliopita
Yanga kocha alikuwa mpya roman folz, Simba kocha alikuwepo na timu muda fadlu lkn bdo alifungwa simba
Simba alikuwa na maingizo mapya mengi kwenye ile mechi, lakini Yanga alianza na wachezaji wake wale wale ambao chemistry ilikuwepo tayari kati yao ni kwa namna flani ilikuwa advantage kwa Yanga kushinda ile mechi
 
Ila kiukweli ukitazama vitu flan vidogo vidogo (japo vinaweza kuwa na impact) simba wana advantage zaid ya kushinda kuliko Yanga.
Kocha wao ni yule yule ambaye kshamfunga Yanga na kusuluhu mae
KIkosi chao ni kile kile maboresho si makubwa sana ambacho kilimpa matokeo

Mengine yanayobaki ni ya nje ya uwanja labda kama yanaweza leta shida. Ila ndani ya uwanja, simba nampa benefit of doubt kuliko chama langu Yanga
Yanga bingwa
 
Mpanzu anaudhi sana yule mkuda. Anakimbia na mpira weeeeeee, watu washafungua, badala atoe pas anang'ang'ana na mpira, mwisho wa siku anapokonywa mpira.

Fvvçk u Mpanzu
 
Hilo hata yanga wanalijua...

Yanga hana uwezo wa kumfunga Simba kwa siku za karibuni.
 
Ila kiukweli ukitazama vitu flan vidogo vidogo (japo vinaweza kuwa na impact) simba wana advantage zaid ya kushinda kuliko Yanga.
Kocha wao ni yule yule ambaye kshamfunga Yanga na kusuluhu mae
KIkosi chao ni kile kile maboresho si makubwa sana ambacho kilimpa matokeo

Mengine yanayobaki ni ya nje ya uwanja labda kama yanaweza leta shida. Ila ndani ya uwanja, simba nampa benefit of doubt kuliko chama langu Yanga
Hizi porojo huwa mnazitoa wapi, huyo kocha wa simba alipokuta na yanga kwa mara ya kwanza yanga walikuwa hawana kikosi chao chote Cha misimu iliyoisha?.
 
Yanga ya Bakuli tia majitiamaji hakiwa kufungwa na Simba Leo hii yanga iliyo na vikosi viwili vyote vizuri!!.
Hii mechi Simba anakufa kipndi Cha kwanza.
Baada ya mechi ufungue JF...

Usikimbie.
 
Combined mystical reading:
A fiercely contested match, likely ending in a draw prior to penalties, but with cosmic energy slightly leaning toward Simba SC.
 
Mudathir Asianze Leo huwa anapoteza sana Mipira, Max, Damaro, na Abuya Wakianza Wote Mnyama Anakufa 2 na Zaidi...
 
Back
Top Bottom