Kivuli cha zitto kitawasumbua sn mana sasa kila muhafidhina haoni raha bila kumtaja zitto na bado huo ni mwanzo kama kaboronga sijui katumwa eti kibaraka mfukuzeni muendelee kukijenga chama sasa inamaana gani watu wazima kumtukana kijana mwenyewe mdogo anawasumbua vichwa majitu mazima mbona ovyo...
Ambao mnaona zitto ni mzigo chadema ondokeni ninyi muanzishe chama kingine cha wakaskazini manake wote mnao bweka humu ni walewale lema style wakati zitto anachukua kadi mlikuwa ccm mnambwelambwela leo hii mmekuwa wajuaji rudini mliko toka bana! manake inawauma sana zitto mwanaume bwana...
acha upuuzi wako wewe labda kama unaabudu mashetani niwapi ilipo andikwa sheta alikuwepo kabla ya yesu yaani kwa hoja zako za kumtete slaa ndo useme shetani alikuwepo kabla ya yesu nyang'au mkuwa wewe.
na bado mlifikiri mtamzimisha kiurahisi zitto ni gogo la ubani kadili linavyo waka ndivyo linavyo toa harufu sasa mtachonga sana jamaa kwa nyota aliyo nayo mtaishia kunuka midomo.
Inawezekana hamad rashidi hakuwa na ubora kuliko zitto na zaidi ya hapo lipumba anajua umuhimu wa zitto kuliko unavyo dhani zitto ni kiongozi bora coz anasimamia kile anacho fikiri ni cha kweli.
mbona unakuwa mgalatia aliye logwa watu kweli ni wagumu kuelewa ndo mana ccm wanazidi kuwaibia aombe msamaha kwa kosa gani? usaliti upi? uhaini upi mbona hamtaji ninyi mnabweka tu hivi kama alifukuzwa sekondari na leo hii ana fight for phd itakuwa uanachama? wanawasihi mjadili mambo mengine...
sasa kama anajimaliza we kinacho kuwa ni kipi? hata ye kaisha jua kwa chadema sio liziki hivyo hana haja ya kuremba na kaisha jipanga kuwa raia mwema wewe acha kuwashwawashwa.
mbowe anajua kama chadema inakufa ndio maana hakuna ujenzi wa ofisi makao makuu wala mikoani coz anajua chama kitakufa na hakutakuwa na ushahidi wa ofisi za chama. pela zote zinazoingia ananunua majumba dubai nyingine anamkopesha slaa kuna chama tena hapo?
zitto ni mwanasiasa aliyekomaa anajua anachokifanya yuko makini zaidi ya unavyo dhania so leave him alone kama ni majanga ni yake kama ni mafanikio ni ya kwake hakuna jipya mpanda ngazi hushuka so hata akifirisika kisiasa ye sio wa kwanza men.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.