Kauli za watu mtaani juu ya CCM

Kauli za watu mtaani juu ya CCM

chama cha wabakaji wamebaka halafu mwakani wataenda kuwaomba kura waliowabaka...
 
Mnataka kututoa kwenye hoja ya ZITTO, hatukubali tuambieni siku 14 bado tu mbona mnambwela?

hatuna muda na msaliti.Ccm ndo mtu wenu,tamaa ya madaraka itawapeleka the Hague! Kumbuka Opereshen Tokomeza Ujangili...kuna uhalifu dhidi ya binadamu,watu wamebakwa,watu wameuawa,watu wameteswa,watu wamechomewa nyumba nk.
 
Sasa hivi janja ni kuvunga mdomoni tena kwa matusi uko CCM ili upate ulaji lakini rohoni CDM. Si unaona Igunga walivyopenyeza siri za mpango wa Mwigulu kwa CDM.
 
Kuna jamaa mmoja amefariki juzi alikuwa ni mwizi na muuza bangi maarufu, hapo kijiweni kwake huwa anaweka bendera ya CCM na kuna kipindi magamba walikujaga kuweka shina pale wakapandisha bendera yao rasmi wakijua wako na mkereketwa mwenzao kumbe jamaa alikuwa anatumia chama kwa kuficha maovu yake.
Na huwezi amini ni pembeni ya baraba kubwa inayounganisha mkoa na mkoa na ni mjini tu lkn hata siku moja polisi hawajawahi kukanyaga hapo anauza bangi yake vizuuuri na wizi vilevile anafanya saana
 
@ifweroo wala halipwi hata shilingi, anabwabwaja jf bure kabisa... ccm wamemtema zamani sana... Amebaki kujipendekeza tu

Hahahahaha, itakuwa ni kweli kashatemwa longtime coz sijuagi huyu mtu anaandikaga nini humu.
Hajielewagi kabisa.
 
Mnataka kututoa kwenye hoja ya ZITTO, hatukubali tuambieni siku 14 bado tu mbona mnambwela?

embu nenda jikoni ukaote moto maana naona akili bado imeganda. Hii mada haimhusu zito wewe unamwingiza kudhihirisha kuwa ccm ni akili mgando. Akili yako bado ime stuck?
 
Hahahahaha, itakuwa ni kweli kashatemwa longtime coz sijuagi huyu mtu anaandikaga nini humu.
Hajielewagi kabisa.

Ifweero ni mpumba.vu,hajawahi kupost hata thread moja kazi yake kusapoti chama chakavu
 
Mpinga wengi ni mchawi, je vp kuhusu ifweero kwenye hii mada?
 
Mpinga wengi ni mchawi, je vp kuhusu ifweero kwenye hii mada?

Huyu jamaa mimi huwa nachekaga sana nikiona comments zake, Nadhani hazimo sawa.
Unaweza ukauliza haya machungwa mbona ni machachu sana? Yeye akakujibu "Babu Slaa ni Janga"
Zilongwa mbali zitendwa mbali.
Huwa namuonaga kama kichaa
 
Chama cha wauaji wasubili the hepue 2015 ccm wote kitanzini sisi bariadi tutaanza na E chenge mzee vijisenti.
 
Chama cha wauaji wasubili the hepue 2015 ccm wote kitanzini sisi bariadi tutaanza na E chenge Tutamaliza lowasa
 
Kivuli cha zitto kitawasumbua sn mana sasa kila muhafidhina haoni raha bila kumtaja zitto na bado huo ni mwanzo kama kaboronga sijui katumwa eti kibaraka mfukuzeni muendelee kukijenga chama sasa inamaana gani watu wazima kumtukana kijana mwenyewe mdogo anawasumbua vichwa majitu mazima mbona ovyo ninyi.
 
Watu wameanza kusema,ukitaka kula pesa za wajinga jiunge ccm. Wanasema kuna options 2
1.Unaweza kutapeli kama yule jamaa aliyesema nimeaga kwetu Kg.
2.Unaweza kuiba,kwani watakwambia urudishe bila kuchukua hatua.
Wengine wansema,ukitaka kupanda cheo
1.Iseme vibaya chadema na kuahidi kuisambaratisha
2.Uue kama Michael Kamuhanda nk.
Eti hiki ndicho chama tunachokitegemea kuleta maendeleo.....ushe.nzi mtupu.

Kauli za watu mtaani juu ya chadema na babu Slaa
Watu wameanza kusema huku ziara za kichama za babu na wengine zikiendelea
1. Mashoga: "
Tukiichagua cdm tumeula, mabwana toka ulaya nje nje, babu silaa anatupenda atatuletea mabwana"

2. Wanywagongo: "Tukiichagua cdm ni burudani kweli, yani sitasumbuka kufanya kazi ya nguvu nikijipatia mia mbili tu mapemaaa kwa mama muuza"

3. Machangudoa: "Babu ni mtetezi wetu, tukimuweka tu madarakani hakuna tena kujificha, biashara nje-nje kwa rahaaaa bila bughudha"

4. Vibaka na Wavuta bhangi: "Sela cdm ndio mpango mzima, babu anatupenda, kahalalisha gongo sasa hivi anakuja kuhalalisha bhangi, cdm oyeeeeeeee"

5. Wasiopenda kufanya kazi- wakaaji wa vijiweni: "cdm mpango mzima, ikiingia tu madarakani, kila mtanzania analipwa mshahara aseee tuichague ati yani tutaendelea kukamua mtaani huku mwisho wa mwezi babu anatulipa mshahara si unaona hata wabunge wetu wengi wametoka humu vijiweni kwahiyo na sisi tutakua na magari kama wao...."

6.Wauza gongo: "Kweli hiki chama kimeanza na Mungu yani hatimae tumekumbukwa sasa hivi naelekea kariakoo nikaongeze vifaa maana ifikapo 2016 wateja wataongezeka, Mungu azidi kumuweka hai mkombozi wetu babu, babu katukomboa, nasisi sasa viwanda vyetu vitafanyakazi bila kificho, cdm chini ya babu oyeeeeee"

Siyo yangu haya, nimesikia tu mtaani wanavyoongea.... kwa wachache niliokutana nao sasa sijui bado makundi mengine yenyewe yanasemaje nitaendelea kuwafahamisha wanasemaje
 
Back
Top Bottom