kasangezi kwetu
Member
- Nov 12, 2013
- 42
- 2
acha upuuzi wako wewe labda kama unaabudu mashetani niwapi ilipo andikwa sheta alikuwepo kabla ya yesu yaani kwa hoja zako za kumtete slaa ndo useme shetani alikuwepo kabla ya yesu nyang'au mkuwa wewe.
Hivi sasa anapeperusha bendera ya chama gani kwenye mikutano yake? Nani kampa ruzuku?
Tena aliitoa na imenukuliwa mpaka tv zimeweka records, nami ninayo hiyo clip.
Gongo kama gongo ni kinywaji kinacho ua nguvu kazi nyingi sana ya TZ!
Gongo ikitengenezwa kitaalam haina madahara kiafya
Viroba vikinywewa kwa kiwango cha kawaida ina madhara gani?Viroba vinakuwa na madhara kama vikinyewa to the maximum!Vijana wengi wanakunywa viroba kupitiliza na ndiyo maana wanaathirika!!
Gongo ikitengenezwa kitaalam inakuwa haina madhara!
vifaranga ni wabeba sumu wa chama
Hivi zitto si aende tu ccm analazimisha kitu gani lakini
Ccm hawamtaki..
Mbona wanamshabikia sana...nilidhani wanamtaka sana..
Wadau wa JF!
Nimefurahishwa na kauli aliyoitoa Mbunge wa Kigoma Kaskazini mh Zitto. Ya kuwa yeye Zitto alichukua kadi ya chadema akiwa na miaka 16 mwaka 1993 wakati "hao wenye midomo mikubwa wanao ongea sasa walikuwa wamewakumbatia watawala"
Zitto wakati anachukua kadi ya chadema mwaka 1993, Katibu Mkuu wa chadema Dr Slaa alikuwa yuko CCM.
Kumbe Zitto ana miaka mingi ndani ya cdm, kuliko hata Viongozi wake!!
SWALI: Lissu, Mnyika na Lema walikuwa wapi mwaka huo??
Hivi kuna Viongozi wa ccm wanaomshabikia Zitto.
kile anachofanya mtu ndicho muhimu na kinaweza kuchambuliwa. wako wengi walijiunga na cdm 1993!
Ungemuuliza kwann labda hakuanzisha chama chake kama anajihisi alikua na vision kuliko hao anaowateta?
Kisiasa huyu jamaa alishajimaliza tokea alipounda team na maccm
Wadau wa JF!
Nimefurahishwa na kauli aliyoitoa Mbunge wa Kigoma Kaskazini mh Zitto. Ya kuwa yeye Zitto alichukua kadi ya chadema akiwa na miaka 16 mwaka 1993 wakati "hao wenye midomo mikubwa wanao ongea sasa walikuwa wamewakumbatia watawala"
Zitto wakati anachukua kadi ya chadema mwaka 1993, Katibu Mkuu wa chadema Dr Slaa alikuwa yuko CCM.
Kumbe Zitto ana miaka mingi ndani ya cdm, kuliko hata Viongozi wake!!
SWALI: Lissu, Mnyika na Lema walikuwa wapi mwaka huo??