Recent content by Karim

  1. K

    Foleni Dar: Tatizo ni traffic light au Polisi?

    Tatizo Kubwa ni Madereva ! Kila Mmoja Anaharaka ! Inatakiwa Elimu itolewe Kwa Madereva Na Watumiaji wengine wa Barabarani! Unakuta Dereva Anaona Kabisa Kuwa Hawezi kwenda Mbele kuna foleni lakini atalazimisha Na Matokeo yake Anafunga njia Kabisa ! Mfano Kuna Makutano ya njia Nne Taa...
  2. K

    Mume kurudi nyumbani kwa mkeo saa 7 za usiku ni sawa?

    Kurudi saa 7:00 si Sawa kabisa ! Angejitahidi Kurudi Mapema kabisa Kabla ya Sala ya Asubuhi Huo Ndio Muda Muafaka
  3. K

    Makontena ya AZAM kuvutwa na vichwa vya treni TRL, imekaaje hii?

    Kwa mtazamo wangu Hapo hamna Tatizo ! Labda Jamaa kakodi hayo mabehewa apelekewe mzigo wake !
  4. K

    hili gari-help

    Hiyo ni ndoa ya kikristu mkuu ! Mpaka life au ufe wewe ndio mwisho wake ! Ukiwa nalo kuliuza shida !
  5. K

    The Highlands Secondary mko wapi?

    Salaam's Mimi nimesoma pale 1987 -1990
  6. K

    MacBook Pro na Air zinauzwa bei rahisi

    Simu yako ????
  7. K

    Sizitaki Mbichi Hizi!!

    1981 Saba Saba primary school
  8. K

    Fundi/gereji yenye kifaa cha OBD (Computer ya kutambua tatizo la Engine)

    Pigs namba 0715 566777 Desert Auto service Watakusaidia Tatizo la Gari Yako
  9. K

    Late 1990s and early 2000s club bangers

    What do i do phill feron
  10. K

    Nyumba inauzwa

    Mkuu weka naomba ya simu an picha pls
  11. K

    Kwa waliosoma shule za msingi Iringa mjini miaka 90

    Salaam's Mimi nimesoma Sabasaba ,Nimemaliza mwaka 1986 ,Nakumbuka Mwalimu Mkuu alikuwa Mama Staki ,Mwalimu wangu wa Darasa la Kwanza alikuwa Mwalimu Seme ,pia naakumbuka Baadhi ya walimu kama Mwalimu Saidi ,Mwaitebele ,Phidelis ,Mwalimu lupola, mwalimu Mohamed kamanda wa Chipukizi ,Mama Komba...
  12. K

    Ni nani huyu Cool 9 Jamani?

    Bengal sanke nakukubali
  13. K

    MAUAJI ARUSHA: Tamko la Rais Jakaya Kikwete

    mimi nawalaumu walio andaa/panga hayo maandamano kwa manufaa yao binafsi na kusababisha raia wasio na hatia kupoteza maisha wakati wao wakiendelea kuishi vizuri ,
Back
Top Bottom