MAUAJI ARUSHA: Tamko la Rais Jakaya Kikwete

Kikwete ni mnafiki mkubwa sana, kuonyesha kusikitika ni kutaka kuwaaminisha watanzania kwamba yeye hausiki
na kutaka kuwapoza wananchi ambao tayari wameonyesha kutokuwa na imani na CCM, Kweli bado viongozi wanawaona watanzania ni wajinga.
Wakati rais akiwahutubia wanadiplomasia kuhusu kusikitishwa kwake na yali yaliyotokea huko Arusha, Rpc wa Arusha yeye pamoja na wapambe wake alikuwa akitoa tamko la kuunga mkono hatua yake ya kutawanya maandamano yaliyopelekea hayo yanayomsikitisha JK.

Sasa hapa unaweza pata picha ya ni nani rais wa Tz. Maana yule tunaedhani ndio rais anatoa malalamishi kwa watendaji wake ambayo wao wanayapuuza na kusisitiza wako sahihi.

No wonder kuna mtu mmoja mwenye kuheshimika hapa nchini aliwahitoa kauli kwamba Tanzania kwa sasa hatuna rais ila tuna mtu aliyeshikilia hiyo nafasi hadi hapo atakapopatikana rais.
.
 
kweli ukistaajabu ya musa utaona ya... ni huyu huyu ninaemfahamu, eti amesikitika kwa yaliyotokea Arusha? Mungu angekuwa anafunua mioyo yetu tuone kilichomo, tungstaajabu kilichomo moyoni mwake. ee Mwenyezi Mungu tunusuru na huu udhalimu unaoendelea
 
Mimi kinachoniuma zaidi ni kuona hawa viongozi bado hawajajiuzulu tu mpaka baada ya kuua na kujisifia mbele ya vyombo vya habari kuwa walistahili kuua.

Majuzi hapa katika maandamano ya wanafunzi London Prince Charles na mke wake Camilla walishambuliwa. Walinzi wake pamoja na kuwa na silaha nzito hawakufyatua risasi hata moja, imagine ni ingekuwa Tz watu wangekufa wengi sana. Hawa walinzi wamefunzwa vema na pia hawana political interests. Polisi akitumia kirungu tu no issue kubwa kwenye vyombo vyote vya habari na anatakiwa ashtakiwe kwa excessive force sembuse na hawa wenzetu walioua Arusha mchana kweupe tena kwa watu wasio na hatia?

Kumbuka Mwinyi alishawahi kujiuzulu kwa madude kama haya

My stand is still the same, they should step down. Na mimi nasubiri statement ya CHADEMA, ni lazima hili swala livaliwe njuga na lisiishe kama mengine yalivyokwisha, c'mon guys we have lost our innocent brothers. CHADEMA you should lead us again to claim our justice on this. They cant just killing on any grounds.

I AM REAL GUTTED WITH KIKWETE'S REGIME
 
Wahuni wakishindwa uchaguzi hufanya fujo ili kuipaka matope serikali. Hongera sana muheshimiwa rais kwa kazi nzuri uliyoifanya kuwaonyesha wahuni kwamba serikali ipo na haiwezi kuvumilia uhuni.

By the way, Slaa I give you respect on your uncanny ability to manipulate the twats, without forgetting your strategic choice of Arusha. Very calculative....
 
Ndugu JK rais huwa hasikitiki, rais huwa anachukua hatua, kama huwezi kuwafukuza kazi basi amua ufukuzwe wewe na wenye nchi yao. Unasikitisha, unatia huruma sana. huu si upole ni upumbavu
 
Katiba mpya lazima izingatie hili., Kiongozi akisababisha maafa ni lazima awajibike, ajiuzuru kupisha uchunguzi...
 
Rais Kikwete leo ametoa tamko lake huku akisikitishwa na tukio la Arusha lililosababisha mauaji ya raia wawili na kuacha mali za mamilioni ya shilingi zikiharibiwa.

Kikwete ameonesha ukomavu mkubwa wa kisiasa tofauti na mtangulizi wake BWM ambaye hakuonesha kusikitishwa na mauaji ya Pemba yaliyopoteza maisha ya watu 27 zaidi ya kuendelea kuwalaumu viongozi wa CUF.

SOURCE: HABARI TBC1

Mambo ya kisanii ya kungata na kupuliza tumezoea, that is JK, maskini sijui kama kuna mtu anamwamini, including his own Government
officials, he knows it, yaani 2005 NILIKUWA NA IMANI KUBWA NA JK, kumbe Chui alivaa ngozi ya kondoo, now we see his true
colors, but this time we can not get fooled anymore, he is worst ever President of my country, Unafanya mwenyewe madhambi then unarudi kinyumenyume, Mungu
tusaidie, its horrible, terrible right hereView attachment 19910 ukiongea ww mbaya, mdini, mbea, ukitoa
ushauri bora, ukikemea ufisadi ww adui mkubwa, UNAVUNJA AMANI, AMANI, AMANIIIII jamani
 
Alikuwa akiwahutubia mabalozi wa nchi za nje hapa Tanzania alipowaalika leo kwenye chakula cha kuwatakia heri ya Mwaka Mpya

Source: Taarifa ya habari ya saa 2 usiku TBC1

My take:
Hili jambo linamuuma JK kama maumivu ya kidole kilichobanwa na mlango. amegundua madhara yake kwenye uongozi wake na mapato yake, kwa kuwa hutegemea sana wahisani na wawekezaji kuendesha nchi.

Amegundua kwamba hawezi tena kuzurura nchi za watu akijisifu kwamba Tz ni nchi ya amani na demokrasia

Amegundua kwamba sasa hata nchi za kimataifa zimeshutuka kwamba inawezekana kwamba yeye siyo mshindi halali wa urais. mara nyingi ni vigumu kupata tukio la kishindo namna ile kutoka upinzani kwa nchi ambaye rais kweli ameshida kwa asilimia 60+

Amegundua kwamba polisi ni wataalamu wa kutekeleza maagizo ya wanasiasa ili wapate sifa na kubaki katika vyeo vyao. Anajuta kuingia ubia na polisi kudhibiti upinzani!

Kwa maneno mengine, JK ametangazia ulimwengu kwamba amekoma, hatarudia tena!! Lakini, kwa nini atangazie mabalozi wa nchi za nje badala ya kutangazia wananchi na kuwaomba radhi moja kwa moja? Nani mwenye thamani kwake?


Gurudumu uko right kabisa. Kinachomuuma kuliko vyote ni ile kujua kuwa safari zake itabidi azipunguze (hasa za Marekani) na akiwa huku hawezi kutamba kuwa nchi yake ni kati ya nchi chache Afrika za kutolea mfano. Na huku US tutahakikisha kuwa hao Watanzania waliokufa hawasahauliki. Sasa hivi kuna kampeni kubwa (US and Canada) ya watu wenye kupenda TZ kuwapigia Senators na MP wao simu na kuandika email ili serikali hizi mbili zisisahau haya maafa. And I know it will work based on the kind of serious questions I was asked by my Senator's office. At some point, Kikwete will have to act against his friends otherise he will have to accept a sad legacy of a corrupt leader - kama wakina Mugabe et al.
 
Kikwete ameonesha ukomavu mkubwa wa kisiasa tofauti na mtangulizi wake BWM ambaye hakuonesha kusikitishwa na mauaji ya Pemba yaliyopoteza maisha ya watu 27 zaidi ya kuendelea kuwalaumu viongozi wa CUF.

Ameonyesha ugoigoi mkubwa sana huyu bwana Kikwete. Tatizo la umeya Arusha lipo kwa wiki kadhaa, na yeye kama kiongozi wa chama chake alikuwa yupo yupo anashangaa shangaa tu. Leo anazinduka eti kasikitishwa. upuuzi mtupu
 
Kikwete, I am sorry but I hate you. I dont have means to kill you but I will be happy if by any how you will perish suddenly.
I NEVER LIKED YOU AND I WILL NEVER LIKE. YOU ARE EVIL WITH YOUR GROUP i.e EL, RA, CHENGE AND OTHERS.
TANZANIA IS MUCH BETTER THAN WE ARE.
YOU ARE LIVING BECAUSE ITS ILLEGAL TO KILL YOU. PERIOD
 
Ni vyema kwa kuwa amesikitika. Inatia moyo ila aoneshe hayo masikitiko kwa vitendo.

1. Amfute kazi IGP Mwema,
2. Amfute kazi Vuai Naodha.
3. Amfutekazi na kumshitaki RPC wa Arusha.
4. Amfutekazi na kumyonga mpaka kufa OCD wa Arusha mjini.
5. Amfute kazi, amshitaki na amfirisi mali zote mkurugenzi wa jiji la arusha aliyeendesha uchaguzi kinyume na taratibu.

Atende haki kwa wote waliohusika katika mauaji hayo (polisi wadogo waliofyatua risasi) kwa kuwakamata na kuwafikisha mahakamani.

Wote hawo washugulikiwe na wakati huo huo wale wote walioshiriki mauaji ya wanachama 27 wa CUF huko Pemba mwaka 2001 nao wakamatwe na kushugulikiwa! bila kuwasahau wahanga wa Mwembechai mwaka 1998 nao ni wa tanzania na mpaka leo hakuna aliekamatwa kwa mauaji hayo!

Mauaji ni mauaji, roho ya binaadamu yeyote ina thamani kubwa hapa duniani na huko tunakoelekea! hivyo waliouliwa leo Arusha hawana thamani kubwa kuliko wa tanzania wenzetu waliouliwa MWEMBECHAI DAR-ES-SALAAM na huko PEMBA!!! kwa hiyo wote waliohusika na mauaji ya Arusha na kote TZ wakamatwe na sheria ichukue mkondo wake!
 
Kitu ambacho sielewi ni kuwa yanapotokea mabaya wanajaribu kutenganisha CCM na serikali; yakitokea mazuri ya serikali CCM hutamba kuwa ni "serikali ya CCM". Ndio maana sikumuelewa kabisa Vuai jana! Alikuwa anazungumza kana kwamba yaliyofanywa hayahusiani na Chama kilichoko madarakani.

That is politics.

Kwa kuwa wao waliplay role yao in background bila ya kuonekana wakati viongozi wa Chadema walionekana wazi, Serikali ya CCM itataka sasa kujenga taswira kuwa wafuasi wa Chadema walioongozwa na viongozi wao wakuu(Dr. slaa+Mbowe) walipambana na polisi ambacho ni chombo huru chenye mamlaka yake ya utendaji ya kusimamia usalama wa nchi na watu wake na kusababisha mauaji na upotevu wa mali uliojitokeza, na hivyo ku-ibland Chadema na viongozi wake kama watu wa vurugu na wanaohatarisha usalama wa nchi.

Sehemu ya pili ya mchezo, viongozi wa serikali ya CCM wanajitokeza na kuutatua mzozo huo na hivyo kunusuru uvunjifu wa amani ulijitokeza katika Mji wa Arusha na hivyo kujionyesha kama chama pekee nchini chenye uwezo wa kuongoza na kuendeleza amani na utulivu wa nchi hii.

.....Mchezo unakwisha na credit za Wadanganyika wanaondoka nazo kiulaini.
 
Nadhani angefanya zaidi ya kusikitika maana kusikitika peke yake hakujawapa CDM walichokitaka.
Yeye kama M/kiti wa CCM angemwagiza Bwana Lyimo aachie ngazi ili proper election ifanyike. Kwa nini wanahofu ya kuendesha free and fair election.
Bado angeweza kumwagiza minister wa local governments kubatilisha uchaguzi wa mayor arusha. He has all the guns to himself, yet ana misfire.

Wanasema ukizoea vya kunyonga hutaweza vya kuchinja. Walijaribu zengwe hilo mwanza ikashindikana.

Kinachonishangaza kwa hawa marais esp BWM na JMK ni pale wanagoma kusaini hati za walihukumiwa kunyongwa yet polisi wao wanaua raia kwa amri yao kama ilivyotokea Arusha na Pemba.

Namstahi kwa vile ana umri wa kuitwa mzee vinginevyo ningempa sh3333nzy type!!

Siku hizi hata tabasamu lake limetoweka, kumbe dhambi ya kuchakachua haki ya mtu balaaaa!
 
Rais Kikwete leo ametoa tamko lake huku akisikitishwa na tukio la Arusha lililosababisha mauaji ya raia wawili na kuacha mali za mamilioni ya shilingi zikiharibiwa.

Kikwete ameonesha ukomavu mkubwa wa kisiasa tofauti na mtangulizi wake BWM ambaye hakuonesha kusikitishwa na mauaji ya Pemba yaliyopoteza maisha ya watu 27 zaidi ya kuendelea kuwalaumu viongozi wa CUF.

SOURCE: HABARI TBC1

Mkapa was right, he condoned the killing because as a leader of the armed forces he had to be behind the people who were working under his government. To me that was political maturity as well as personal responsibility. That is what leaders do.

Huwezi kusema unasikitishwa na mauaji wakati wewe ndio umetuma watu kuua. Unapo-delegate power lazima ukubali responsibilty kama uliowatuma walifanya tofauti na ulivyotaka. Kama leo ukisme unasikitishwa kesho, ikitokea hali kama hiyo polisi watakaa kimya ili wasikusikitishe.Kiongozi hatakiwi kuwatupa wapiganaji wake.

This is irresponsible, immature and betrayal.
 
Aende US au UK sasa kama hatakuwa anawakimbia waandishi. But, it is sad anawasubiri mabalozi ndio atoe tamko.
Angeenda kuwajulia wananchi mbona hata kwa mshabiki wa ccm akiwa mgonjwa anaenda?

But bila polisi kuwajibika hatumwelewi
 
Rais Kikwete leo ametoa tamko lake huku akisikitishwa na tukio la Arusha lililosababisha mauaji ya raia wawili na kuacha mali za mamilioni ya shilingi zikiharibiwa.

Kikwete ameonesha ukomavu mkubwa wa kisiasa tofauti na mtangulizi wake BWM ambaye hakuonesha kusikitishwa na mauaji ya Pemba yaliyopoteza maisha ya watu 27 zaidi ya kuendelea kuwalaumu viongozi wa CUF.

SOURCE: HABARI TBC1

f**K
 
Wana JF,

Jana Nilikutana na mkereketwa mmoja wa CCM nilishangaaa sana kuwa yeye alifurahishwa ati na kile kitendo cha wanachama wa CHADEMA kutupiwa mambomu na kuvuruga maandamano yao,

Mie nilimuuliza vizuri tuu ivi unajua ulimwenguni popote kule mwandamanaji yeyeote au raia yeyote ikiwa ameva kitambaa cheupe mkononi hata kama umemkataza asifanye jambo la kuandamana police hawapaswi kuwafanyia chochote hata kuzuia hayo maandamano??

Yeyey akaji wacha waipate ati wanajua kuna watu huko nchi za magharibi wanawadhamini na wanajulikana nikamuuliza unawajua au nawe ni mfuasi wa watu wachache huko juu nikamwambi unajua watu wamepoteza maisha? au wewe huna ndugu aliye poteza maisha ndio unakiburi cha kuongea hayo cha ajabu kabisa akani tamkia kuhusu Rose mingiro khaa nika muuliza mama wa watu katokea wapi kwenye hili??? oooh unajua serikali wanajua jinsi ya kuicheza hii issue aaaah nikamwambia kumbe unajua kilichofanyika sio kizuri na mwakimbilia kumwambia nini mingiri si upuuzi huo nikamwambia ngoja the Hague ikija hapa itakavyo kuwa akajibu oooooh the hague ni mpaka watu 30 wafe aaaaah kumbe ndio inakuwaga hivyoo eeeeh akanikumbusha ya mwembe chai mbona Ben Mkapa hakushitakiwa na hii ya arusha itakuwa hivyo nilimshangaaa huyo kada wa CCM, Ndipo nikajua kuna watu wamefuata Si ha sa na sio siasa safi.

Hakuna Police anaye ruhusa ya kumpiga raia ambae hana siraha sasa sielewi ni nani alitoa order ya police kuanza kurusha mabomu ya machozi kwa waandamanaji huku wakiwa na vitambaa vyeupe mikononi na wengine wamevifunga??? na Chakushangaza ati siku CHADEMA wanaandamana kumbe tuliambiwa kuwa NEC ilitoa barua ya kusema kuwa ule uchaguzi wa Mayor Arusha ulikuwa sio sahihi ni batiri kwani haukufuata taratibu zote za uchaguzi.

Narudi nyuma kwa EL alisema ni bora kuwepo na mazungumzo kati ya CHADEMA na CCM na wengi waliafiki kabisa kuhusu hilo, akatokea Kichaaa mmoja huko CCM akampinag vikali EL, huyo alikuwa Yusufu Makamba Katibu Mkuu CCM aliaibisha CCM sana kwa kusema ati CCM ilishinda uchaguzi wa Mayor Arusha hivi huyo makamba alikuja kwenye uchaguzi siku hiyo au bado anafikra potofu ya kudhani watanzania bado wana ile huruka ya ndio mzeee asahau kabisa hiyo na ndio namfananisha makamba na huyo kada wa hapo CCM anayeshabikia machafuko hayo na nikada maarufu sana nilimpigia simu kujua kama naye hayo yaliyotokea huko ni sahihi ni katiaka kutaka kujua maoni ya watu wa CCM pia kumbe ndio alinichefua sana ilibidi nimpotezeee
 
mimi nawalaumu walio andaa/panga hayo maandamano kwa manufaa yao binafsi na kusababisha raia wasio na hatia kupoteza maisha wakati wao wakiendelea kuishi vizuri ,
 
mimi nawalaumu walio andaa/panga hayo maandamano kwa manufaa yao binafsi na kusababisha raia wasio na hatia kupoteza maisha wakati wao wakiendelea kuishi vizuri ,

Karim
user-online.png
Junior Member
reputation_pos.png
reputation_pos.png
reputation_pos.png
reputation_pos.png
reputation_pos.png
reputation_highpos.png
reputation_highpos.png
reputation_highpos.png
Join DateSun Feb 2008Posts1Thanks0Thanked 0 Times in 0 Posts Rep Power0
 
Wahuni wakishindwa uchaguzi hufanya fujo ili kuipaka matope serikali. Hongera sana muheshimiwa rais kwa kazi nzuri uliyoifanya kuwaonyesha wahuni kwamba serikali ipo na haiwezi kuvumilia uhuni.

By the way, Slaa I give you respect on your uncanny ability to manipulate the twats, without forgetting your strategic choice of Arusha. Very calculative....

U r the namba 1 twat... Umesahau waarabu wa pemba .... Fisadi papa we
 
Back
Top Bottom