Ni kweli ajali imetokea Ni kati ya station ya Kigwe na Bahi,kwa taarifa za muda huu abiria watatu na mfanyakazi mmoja alietambulika Kama Swaum Mwandwaun wamefariki pia kuna majeruhi kadhaa
Tusubiri taarifa zaidi
Yanga kiukweli kabisa wamechoka!!kuna ukweli unafichwa kwa maslahi ya watu,kuendesha club kubwa kama ni gharama kubwa sana,tunahitaji wachezaji professional, tunahitaji kocha wa kiwango hicho,chanzo cha hela ni kutoka kwa Gsm hv gsm anapata nn kwa yanga,tukubali nyakati tubadilishe katiba club...
Basi ni kwa nini mheshimiwa Jembe amejijengea maadau wengi sana kwa kipindi kifupi sana cha uongozi wake?sehemu nyingine anafanyakazi vzr,issue inakuja pale anapowanyamazisha wakosaaji wake!!anaishi kwa maisha ya tabu sana ktk kipindi chake hiki hawezi kumuamini mtu yeyote yule,utabiri wangu mm...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.