CCM Mbeya mjini waijibu CHADEMA

CCM Mbeya mjini waijibu CHADEMA

We mjua takwimu bei ilikuwa hivyo baada ya ndg yako kukamata dola nini kilitokea?
 
Hawa aina ya wabunge watakao kwenda sema NDIO bungeni wapotelee kwenye bunge la hovyo la Ndugai.

Tupate sura mpya zitakazojali maslai ya taifa na sio kuunga juhudi.
 
Endeleeni kushindana kujaza viwanja vya kampeni maana ndio siasa mlizobakiwa nazo.
Ndiyo maana Magufuli hapa Mwanza alifunga shule zote ili uwanja ujae. Na kweli ulijaa, zaidi ya 60% wanafunzi watupu. Na wanavijiji walipelekewa malori. Wakazi wa mjini tukabakia watazamaji, huku tukishangaa wananzengo toka vijijini wakiletwa mjini kama magunia ya michembe.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
CCM huko Mbeya na hata huko kusini hamna chenu, natazama hapa kampeni zenu Nanyamba, Mtwara.

Kamera za chanel ten muda wote zote zimeelekezwa kwenye jukwaa kuu wanashindwa kuelekeza kwa wananchi mpaka mkutano umeisha.

Hatari sana
 
Tulia Ackson aliweza kuwanunua wajumbe 900 wa mkutano wa jimbo kwa kuwapa Tsh 100,000 kila mmoja akadhani amefanikiwa. Huko mtaani CCM haipendwi wanayemjua ni Joseph Mbilinyi aka SUGU tu. Tulia anatoka wilaya jirani ya Rungwe kuja kugombea Mbeya, kwa nini hakugombea kwao?. Hiyo nayo ni matusi kwa wana Mbeya na watamjibu kwa Sanduku la kura.

Tulia hawezi kupata 25% ya kura zote. Na asahau kwamba mwaka huu CDM haiibiwi kura
 
Acha kudanganya watu wewe
Mimi mikutano yote miwili nimehudhuria.
Tulia alikuwa na watu wachache Sana jana Jana ukilinganisha na mkutano wa wiki iliyopita wa chadema.
Mimi si mwanachama wa chama chochote ila kwa hapa Mbeya huyu mama ana wakati mgumu mno.
Huyu mama ni mzuri ila tatizo ni Jimbo analogombea.View attachment 1564939View attachment 1564940


Ona hii ya last week

Kiwanja ni hichohichoView attachment 1564961
Hujui.....Kwani nani mwanachama wa chama chochote?......Sijui.....Usione aibu ona sasa,
Screenshot_20200910-123625~2.png
pendeza eheee!!
 
Tuonyeshwe Umati wa Mbunge yoyote wa CCM bila kuwepo Rais, Makamu au Waziri mkuu.

Ni aibu na hawakuonyeshi,
 
Na jana darasa la saba walikuwa na mitihani so walimu na wanafunzi baadhi walijumuika hapo afu nasikia na waziri mkuu alikuwepo pia
 
Gari la matangazo linapita huku wanatangaza na wasanii watakaokuwepo kwenye mkutano
 
Back
Top Bottom