Osama hakujiamini kupita kiasi ndo maana alikuwa anajificha.MTU hutakiwi kujiamini kupita kawaida.Osama bin laden yuko wapi
Ulichokiandika hata sikielewi!Heri kupata maendeleo taratibu huku watanzania waliowengi wakijikwamua kielimu na kifikira kuliko kufanywa wahudumu wa Wazungu Kama ilivyo South Africa na Zimbabwe Kabla Mugabe hajawafukuza mabeberu.
Japokuwa Zimbabwe walichelewa kuchukua hatua Sisi watanzania tunaojitambua Tunaendelea kumshukuru baba wa taifa kwa kukataa ukoloni mamboleo kisa maendeleo ya haraka haraka
Taifa limekumbwa na jinamizi la unafiki ''not what you see glittering are tanzanite or gold''Simkubali membe, ila kwa msimamo wake huu naunga mkono.maisha lazima yaendelee.pia nje ya siasa kuna maisha pia.
Ikulu ya Madale?Siku akiende Ikulu uje na coment yako tena
Sawa. Lakini kamwa hatapata U-JPM
Hamna mtu mwenye nguvu kama rais. Hata rais akiwa kingwendu, hamna atakayemuweza.Aliyekuwa Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Bernard Membe amerusha kombora lake na kudai kuwa ni heri kufa umesimama kuliko kuishi umepiga magoti.
Membe aliandika ujumbe huo jana kwa lugha ya kingereza kupitia akaunti yake ya kijamii ya Twitte aliandika kwa ufupi kuwa “Better to die Standing, Than to live on your knees!,”.
Baadhi ya mashabiki wake katika ukurasa huo walimsifu kwa maamuzi yake na wengine wakimuambia msimamo wake umeonyesha ni kiongozi imara hayumbishwi.
Wengine walikwenda mbali na kufananisha kauli hiyo ni msimamo wake wa kutomuomba msamaha kwa Rais John Magufuli kutokana na kukuri sauti yake imevuja katika mitandao ya kijamii juu ya kumsema Rais.
View attachment 1206501
Majizi ndio maadui wake.Basi ni kwa nini mheshimiwa Jembe amejijengea maadau wengi sana kwa kipindi kifupi sana cha uongozi wake?sehemu nyingine anafanyakazi vzr,issue inakuja pale anapowanyamazisha wakosaaji wake!!anaishi kwa maisha ya tabu sana ktk kipindi chake hiki hawezi kumuamini mtu yeyote yule,utabiri wangu mm itakuja fikia siku wana Ccm wataungana na wanaharakati kutengeneza katiba mpya,na joto likiwa kali jamaa atanyosha mikono
We are United ecerpt the sycophants and hypocrites who think development must be the result of tyrannic rule!!! We have to fight tirelessly against them despite the power they hold.So, why don't we unite?
Hapa twitter imechomekewa alama ya valid account ila ukiingia ktk hiyo account haina alama ya validity. Hivyo ni walewale WASENGErema wa kuyemgenez habari.Aliyekuwa Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Bernard Membe amerusha kombora lake na kudai kuwa ni heri kufa umesimama kuliko kuishi umepiga magoti.
Membe aliandika ujumbe huo jana kwa lugha ya kingereza kupitia akaunti yake ya kijamii ya Twitte aliandika kwa ufupi kuwa “Better to die Standing, Than to live on your knees!,”.
Baadhi ya mashabiki wake katika ukurasa huo walimsifu kwa maamuzi yake na wengine wakimuambia msimamo wake umeonyesha ni kiongozi imara hayumbishwi.
Wengine walikwenda mbali na kufananisha kauli hiyo ni msimamo wake wa kutomuomba msamaha kwa Rais John Magufuli kutokana na kukuri sauti yake imevuja katika mitandao ya kijamii juu ya kumsema Rais.
View attachment 1206501
Kutangulia sio kufika! Cha msingi ni kwamba JPM ni Head of State...ana uwezo wa kutoa maelekezo kichwachako kikaletwa kwenye sahani, na hutafanya lolote. Kwakifupi, he`s the most powerful man on the land.. Lazima uheshimu hilo, haijalishi kama alishafanya kazi Ikulu au la!Aombe msamaha kwani Membe kamkosea nini Magufuli?
Membe kaanza kufanya kazi Ikulu wakati huo Magufuli akiwa shule ya Sekondari sasa leo hii ndo akajishushe na kuomba masamaha kwa kosa ambalo hajafanya kisa madaraka?
Membe hauyumbishwi!
Wale wengine bado wana future kwenye politics lakini Membe yupo kwenye Political Exit Lane kwa hiyo hana cha kupotezaHuyu hana njaa kama wale wengine.
"Tunajua suspect namba Moja, iwe kweli au si kweli"...hapo umeonyesha jinsigani umekuwa mzembe wa kushirikisha ubongo wakati unachangiaMwmbe hata bila ku tweet kashatoa hii statement.
Tena kwa sauti yake kabisa katika maongwzi aliyodukuliwa.
Alisema anawasubiri aone watafanya nini, maana yake haombi msamaha. Kaweka mustendi.
Na mpaka sasa akitekwa tu, tunajua susoect namba moja Magu. Iwe kweli au si kweli.
Unatisha...😆😆😆😆😆Usimuamini mwanasiasa wa Tanzania hata kwa 25% tu. Walioitwa mafisadi papa waliweza kupokelewa pande zote mbili na kuimbiwa mapambio. Msije kushangaa Membe nae akajikuta yupo Ikulu akiwekewa mkono wa utakaso. JIWE huwa hana dogo. Anawaumbua na kurusha video clips tangu wakiwa getini wakitweta na kutoa jasho
kwa kipindi hiki huyu atajutaAtanirudisha nyuma kiitikadi iwapo nitasikia ameenda kupiga magoti kimya kimya na kuja kutangazwa hadharani. Ernesto Che Guevara alikuwa ni moja ya wapiganaji haki hodari sana duniani na atendelea kuheshimiwa milele kwa misimamo yake thabiti.
Hivyo kama Mh. Membe anafuata nyendo zake, basi tunamtakia kila la heri.