Habari ndugu watanzania wenzangu, sera ya elimu kwa sasa katika shule za umma ni elimu bure yani wewe mzazi jukumu lako mzazi ni kumuandaa mtoto na kuhakikisha mtoto anafika shule, lakini katika uhalisia ulivyo kwa uchunguzi wangu unakuta michango ambayo unatoa ili mtoto apokelewe shule ukipiga...
Pole ssna ndugu, ushauri wanu...kwanza usikate tamaa namna hiyo, mbili endelea kufuatilia mguuu kwa mguu juu ya kesi yako, tatu mshirikishe Mungu jambo hilo , imani ina nguvu, nne wakati unaendelea kusubiri hili tafta kaz ndogo ndogo ambazo sisi wanaume wenzako tunafanyana kuendesha...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.