Kuna siku niliwahi kuwaza kama wewe, na ni kweli sio kila sukari iliyoko sokoni ni ya miwa, kuna aina nyingi tuu ambazo nadhani uzalishaji wake ni rahisi kuliko wa miwa lkn cjui nn tatizo.
Halafu uzuri wa Stevia haina calories, hivyo kila mtu anaweza tumia bila woga
mhhh mbona kama sio kashwagala hiihii ni Kashwagala.....leo ndo nimejua ni tiba ya kisukari...home tunaitumia kama dawa ya tumbo na kiungo cha chai.
Ukienda Bukoba miji mingi huwa atutumii majani ya chai kwenye kupika chai, huwa tunatumia hii kama majan ya chaihii ni Kashwagala.....leo ndo nimejua ni tiba ya kisukari...home tunaitumia kama dawa ya tumbo na kiungo cha chai.
Habari Tanzania!
Kwa wapenda maendeleo, afya na uchumi huu mmea wa "stevia" waweza kuwa mkombozi kwa taifa.
Wataalamu wa afya, tiba, utafiti na kilimo naomba kuliweka kwenu hili faili la mmea wa "STEVIA" maana wananchi wamechoka na magonjwa ya kisukari, bei ya sukari kuwa aghali sana nk
Cc: Mikoa ya Arusha, Mbeya, Kagera na Morogoro.
Karibu.View attachment 1498419View attachment 1498420
View attachment 1498421
Nahis neno " potential side effect" ndio limekuchanganya?Je, maelezo hayo kuhusu huo mmea ni kweli???
View attachment 1498627
Nahis neno " potential side effect" ndio limekuchanganya?
Nini maana ya "potential"?"Madhara yaliyopo" (refer potential energy).
Nini maana ya "potential"?
Waliposema "potential side effect" mi ninais hana tofauti na anaesema " positive side effect au position impact"
Tafuta wataalamu wa tiba asili na watafiti wa mimea uwaulize dawa ya kutibu kisukari inaitwaje na inapatikana wapi? Je, mbadala wa sukari mbali na matunda ni mmea gani unafaa?Je, maelezo hayo kuhusu huo mmea ni kweli???
View attachment 1498627
Mitaa gani mkuu niibukie nioteshe kwanguLimejaa
Hakunaga mimea au jani lolote liletalo kansa..... Kuwa makini sana na mzunguMkuu huu mmea umezuiwa kutumika kwa baadha ya mataifa kama USA kwakuhofia unauwezekano wa kusanabisha kansa,
Sujui hapa kwetu TFDA wanaongeleaje huu mmea au na wenyewe wame upiga marufuku.
Yanapatikana wapi me nataka niyapande maskani3 years back nilipoanza kuacha matumizi ya sukari kabisa nilianza na hayo majani matamu kwenye chai kuliko sukari na ni nzuri kwa weight control na kiafya kwa ujumla.
Dr. Ndodi ameyafanyia packaging anayauza
Kama ungekuwa unaleta madhara bas watu wa bukoba, mleba, karagwe na kyaka 80% wangekuwa wanaumwa kansa, maana kule hii ni dawa ya tumba na kiungo cha kwenye chaiMkuu huu mmea umezuiwa kutumika kwa baadha ya mataifa kama USA kwakuhofia unauwezekano wa kusanabisha kansa,
Sujui hapa kwetu TFDA wanaongeleaje huu mmea au na wenyewe wame upiga marufuku.
Hii sio kashwagalaKama ungekuwa unaleta madhara bas watu wa bukoba, mleba, karagwe na kyaka 80% wangekuwa wanaumwa kansa, maana kule hii ni dawa ya tumba na kiungo cha kwenye chai
ThemiMitaa gani mkuu niibukie nioteshe kwangu