Kuweka lami barabara ya Iyegeya hadi Sawala ila Mgololo highway haina lami sio poa!

Sawa sawa..Hizo mitaa zote ziko kichwani...nyangugulu kote huko..kulikua na tajiri mitaa hiyo wa mbao sijui Kama bado yupo ..kilyamulya!SEMA utakua humfahamu!
Braza namfahamu Kilamulya kuliko wewe possible kuna Kilamulya mkubwa baba yake wa akina Monde(Huyu dogo anaingia kwenye siasa mwaka huu) alikuwa anaishi Sawala Magengeni ambae alikuwa tajiri miaka hiyo ila siku hizi nasikia amechuja baada ya kuhama kijiji na kuna Kilamulya mdogo wa njiapanda ya Lupeme huyu alikuwa na pesa sana enzi hizo za mwanzoni mwa 2000s (ndio watu wa mwanzo mwanzo kudrive Prado huku) siku hizi hata akina Maula wamemzidi...hiyo Sawala mpaka Ziroziro hunidanganyi hata tone ni mitaa nayoijua saaana kuanzia Kalinga,Sawala Kati,Njiapanda ya Lupeme,Kitiru,Nyangugulu kwa akina Kipambe Sanga matajiri wa enzi hizo...nk nk zamani kipande hicho alikuwepo guru wa mabasi ya abiria alikuwa anaitwa Mvemba aliuawa kwa risasi sababu ya ujanja ujanja...wengine kwenye usafirishaji wanaitwa akina Likikima,akina Nyenza wa Nyangugulu nk nk....nayajua hayo maeneo tangu enzi za Kojifa,SPM na sasa MPM kijiwe changu wakati huo kilikuwa hapo Ofisi za kijiji kwa mama Sayuni!!! Nina mashamba huko Sawala,gereji na biashara ya mbao. Na nimesoma SM Sawala miaka hiyo japo nilisoma muda mfupi.

Leta swali!
 
Braza namfahamu Kilamulya kuliko wewe possible kuna Kilamulya mkubwa baba yake wa akina Monde(Huyu dogo anaingia kwenye siasa mwaka huu) alikuwa anaishi Sawala Magengeni ambae alikuwa tajiri miaka hiyo ila siku hizi nasikia amechuja baada ya kuhama kijiji na kuna Kilamulya mdogo wa njiapanda ya Lupeme huyu alikuwa na pesa sana enzi hizo za mwanzoni mwa 2000s (ndio watu wa mwanzo mwanzo kudrive Prado huku) siku hizi hata akina Maula wamemzidi...hiyo Sawala mpaka Ziroziro hunidanganyi hata tone ni mitaa nayoijua saaana kuanzia Kalinga,Sawala Kati,Njiapanda ya Lupeme,Kitiru,Nyangugulu kwa akina Kipambe Sanga matajiri wa enzi hizo...nk nk zamani kipande hicho alikuwepo guru wa mabasi ya abiria alikuwa anaitwa Mvemba aliuawa kwa risasi sababu ya ujanja ujanja...wengine kwenye usafirishaji wanaitwa akina Likikima,akina Nyenza wa Nyangugulu nk nk....nayajua hayo maeneo tangu enzi za Kojifa,SPM na sasa MPM kijiwe changu wakati huo kilikuwa hapo Ofisi za kijiji kwa mama Sayuni!!! Nina mashamba huko Sawala,gereji na biashara ya mbao. Na nimesoma SM Sawala miaka hiyo japo nilisoma muda mfupi.

Leta swali!
🤣🤣🤣🤣! Kuna dogo hapo Sawala miaka Ile alipata ajali akaumia kichwa...nimemsahau jina lake..alikua msabato kipindi fulani..hao wooote ulowataja nawafahamu balaa ..dah dingi akamuuzia huyo Maula msitu kwa 29m ndan ya siku 4maula akauuza kwa wale waburushi kwa 70m! Toka siku ile nikaamini maana ya neno "Fala!..maula alikua ana mafua 24/7 lakini Sasa hiv naskia ana mkwanja had anaumwa🤣🤣..huyo kilyamlya alofilisika mkewe nimesoma naye enzi hizo...unamjua Baraka mponzi? Mwe basi ishia hapa hapa!
 
! Kuna dogo hapo Sawala miaka Ile alipata ajali akaumia kichwa...nimemsahau jina lake..alikua msabato kipindi fulani..hao wooote ulowataja nawafahamu balaa ..dah dingi akamuuzia huyo Maula msitu kwa 29m ndan ya siku 4maula akauuza kwa wale waburushi kwa 70m! Toka siku ile nikaamini maana ya neno "Fala!..maula alikua ana mafua 24/7 lakini Sasa hiv naskia ana mkwanja had anaumwa..huyo kilyamlya alofilisika mkewe nimesoma naye enzi hizo...unamjua Baraka mponzi? Mwe basi ishia hapa hapa!
Baraka Mponzi si huyo mtoto wa Senyenza wapo Nyangugulu hao ana visenti mshua wake alikuwa dereva wa malori ya chai ya MTC wana undugu na akina mzee Manga aliekuwa dereva wa Ambulance za SPM miaka hiyo baba yake wa Maselina ambae niliwahi kusoma nae primary miaka hiyo. Kwa asili hao akina Baraka ni wenyeji wa Ibwanzi village.
Leta swali!
 
Baraka Mponzi si huyo mtoto wa Senyenza wapo Nyangugulu hao ana visenti mshua wake alikuwa dereva wa malori ya chai ya MTC wana undugu na akina mzee Manga aliekuwa dereva wa Ambulance za SPM miaka hiyo baba yake wa Maselina ambae niliwahi kusoma nae primary miaka hiyo. Kwa asili hao akina Baraka ni wenyeji wa Ibwanzi village.
Leta swali!

🤣🤣🤣🤣 ...uko vyema! Mie nimezaliwa huko..tuliishi Lugoda..sijaja nna km 11 yrs..but Mafinga Kuna vitegauchumi vya family siku nazama huko kusalimia classmates
 
Kwa kweli hyo lami sijaiona labda kama double kick zimenilevya sasa hv,hebu nielekezeni ndugu zanguni,msaada kwenye tuta tafadhalini
 
I'd yako mzee inaonyesha wewe kweli ni mhehe .Nyadikwa aka mbegu.
Tukirudi kwenye maada sawa barabara ya mgololo ni muhimu ila nasikia eti ni wajibu wa mhindi aliyepewa kiwanda eti ndo asimamie barabara zake coz gari zake zapita. Sina uhakika lakini
Nmefurahi kupaona kijijini pangu mkonge ..Ila barabara hyo ni ya msaada haiko kwenye bajeti . Vijiji vinvyozalisha chai vimepata neema za misaada na wahisani nje ya serikali. Mf hapo mkonge hatutumii umeme wa grid ya taifa ,kuna umeme wa kujitegemea. Maji pia
 
Braza namfahamu Kilamulya kuliko wewe possible kuna Kilamulya mkubwa baba yake wa akina Monde(Huyu dogo anaingia kwenye siasa mwaka huu) alikuwa anaishi Sawala Magengeni ambae alikuwa tajiri miaka hiyo ila siku hizi nasikia amechuja baada ya kuhama kijiji na kuna Kilamulya mdogo wa njiapanda ya Lupeme huyu alikuwa na pesa sana enzi hizo za mwanzoni mwa 2000s (ndio watu wa mwanzo mwanzo kudrive Prado huku) siku hizi hata akina Maula wamemzidi...hiyo Sawala mpaka Ziroziro hunidanganyi hata tone ni mitaa nayoijua saaana kuanzia Kalinga,Sawala Kati,Njiapanda ya Lupeme,Kitiru,Nyangugulu kwa akina Kipambe Sanga matajiri wa enzi hizo...nk nk zamani kipande hicho alikuwepo guru wa mabasi ya abiria alikuwa anaitwa Mvemba aliuawa kwa risasi sababu ya ujanja ujanja...wengine kwenye usafirishaji wanaitwa akina Likikima,akina Nyenza wa Nyangugulu nk nk....nayajua hayo maeneo tangu enzi za Kojifa,SPM na sasa MPM kijiwe changu wakati huo kilikuwa hapo Ofisi za kijiji kwa mama Sayuni!!! Nina mashamba huko Sawala,gereji na biashara ya mbao. Na nimesoma SM Sawala miaka hiyo japo nilisoma muda mfupi.

Leta swali!
Heee bela unogage
 
Duh nyie mnaozungumzia Hivyo vitongoji vya Mufindi mmenifurahisha sana nilikuwa Mtwango last Christmas nilikaa hapo nyangugulu na Nicko Mzungu , na Kilamlya diwani pale Gogo beach, Duh nyumbani huko
IMG_20191225_094903.jpg
 
Duh nyie mnaozungumzia Hivyo vitongoji vya Mufindi mmenifurahisha sana nilikuwa Mtwango last Christmas nilikaa hapo nyangugulu na Nicko Mzungu , na Kilamlya diwani pale Gogo beach, Duh nyumbani hukoView attachment 1536393

Hii mikate ukila ni siku nzima uko full😆😆..duh Nico😛😛😷😷!tajiri Mkinga.. Gogo beach ukiondoka na watu wengi for hiv..duh bado ipo??
 
Kigola hamna alichokifanya, mgimwa ndiyo hopeless kabisaaaa. Bora kwa kigola Kihenzile anaweza kuleta tumaini jipya, hila uku kwa mgimwa wananchi tutaamua

Sent from my 5023F using JamiiForums mobile app
 
I'd yako mzee inaonyesha wewe kweli ni mhehe .Nyadikwa aka mbegu.
Tukirudi kwenye maada sawa barabara ya mgololo ni muhimu ila nasikia eti ni wajibu wa mhindi aliyepewa kiwanda eti ndo asimamie barabara zake coz gari zake zapita. Sina uhakika lakini
Nmefurahi kupaona kijijini pangu mkonge ..Ila barabara hyo ni ya msaada haiko kwenye bajeti . Vijiji vinvyozalisha chai vimepata neema za misaada na wahisani nje ya serikali. Mf hapo mkonge hatutumii umeme wa grid ya taifa ,kuna umeme wa kujitegemea. Maji pia
Napajua sana Mkonge hata umeme wake una nguvu sana...Kuna jamaa ni Afisa wa serikali ya kijiji anaitwa Mdeta ni rafiki yangu na nina shamba la chai tuekari tuwili hapo mkonge nafamiana na akina Mgonzo na akina Ngunyale na akina Mpagama hapo Mkonge wengine walihamia Sawala huku...unalosema la kweli maana hata ya Kitiru na hiyo ya Mkonge nasikia Europeans wanadhamini ujenzi wake...hoja yangu ni wajenge hili kubwa...nadhani muhindi wa Mgololo atakuwa kapewa pasenti ya kuchangia kurekebisha hilo barabara kwa kiwango cha Molam sidhani kwa kiwango lami...kama ni hivo ima maana viwanda vyote vya chai vya Kiwele,Lugoda,Kilima,na Itona vitatakiwa navyo vimsaidie plus wenye magogo ya mbao maana wote hao wanatumia hilo barabara....waweke tu lami kwa kweli
 
Napajua sana Mkonge hata umeme wake una nguvu sana...Kuna jamaa ni Afisa wa serikali ya kijiji anaitwa Mdeta ni rafiki yangu na nina shamba la chai tuekari tuwili hapo mkonge nafamiana na akina Mgonzo na akina Ngunyale na akina Mpagama hapo Mkonge wengine walihamia Sawala huku...unalosema la kweli maana hata ya Kitiru na hiyo ya Mkonge nasikia Europeans wanadhamini ujenzi wake...hoja yangu ni wajenge hili kubwa...nadhani muhindi wa Mgololo atakuwa kapewa pasenti ya kuchangia kurekebisha hilo barabara kwa kiwango cha Molam sidhani kwa kiwango lami...kama ni hivo ima maana viwanda vyote vya chai vya Kiwele,Lugoda,Kilima,na Itona vitatakiwa navyo vimsaidie plus wenye magogo ya mbao maana wote hao wanatumia hilo barabara....waweke tu lami kwa kweli
Kwa kweli
 
10 Reactions
Reply
Back
Top Bottom