kwa nayefahamu Arusha mjini na vitongoji vyake kuna kero ndogondogo mfano barabara za mitaani kama levolosi,kaloleni,mbauda, na sehemu nyingine.Na ninavyofahamu Mbunge wa eneo husika anao ushawishi mkubwa wa kuweza kuwahamasisha wananchi ama kuisukuma serikali ili kuondoa kero hizi.Ushauri wangu...