Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Je TZS kwa USD ni ngapi. Rate quote ni two way, selling na buying. Wewe Ukiwa na dola unataka shs rate utakayopewa ni buying rate. Ukiwa na shs unataka dola rate unayotumia ni selling rate. In most time selling rate ni kubwa kuliko buying rate na spread Mara nyingi ni kama shs 200 . So Kama uliuza dola zako kupata dafu ni Sawa hiyo rate. Aliyoweka hapa ya 1800 ni Sawa kabisa
JK ALIKUWA kilaza wa kutupwa...... digriii ya uchumi hamna anachokifahamu.....cijuw akiachia ngaz nitampa scholarship nimpeleke chuo chochote akapge shule!!!!!!!#
Hizi taarifa huwa mnazitoa wapi? Mbona leo nimebadili USD kwa Tshs 1,660.
Hizi taarifa huwa mnazitoa wapi? Mbona leo nimebadili USD kwa Tshs 1,660.
Nuff said.....[/QUOTE
Nuff Said
Sidhani kama wewe ni Mtanzania...Na kama ni Mtanzania, basi huna uzalendo na Nchi hii hata kidogo. Ebu tazameni official rates kutoka Bank of Tanzania as of today 3rd Nov 2011: http://www.bot.go.tz/
hujakosea id yako kweli mkuu? Haukumaanisha mpum..b.avu? Oh! Kaushia tu.inawezekana umenunua, sidhani kama umeuza...