KAUDO
Senior Member
- Aug 10, 2011
- 138
- 67
Hakuna ubishi CDM ni chama mbadala kitakachorudisha tumaini lililopotea baada ya 50yrs.Imebaki kazi moja tu ya kuwaamsha Wtz walioko vijijini,na kazi hii ianze haraka iwezekanavyo kabla ya uchaguzi wa serikali za mitaa.
CDM ikizoa vitongoji,mitaa na vijiji vingi kama sio vyote itakuwa ni dalili za mwisho za kukamilika safari ya kuelekea Magogoni.Wananchi wamewashika,nanyi shikamana.
CDM ikizoa vitongoji,mitaa na vijiji vingi kama sio vyote itakuwa ni dalili za mwisho za kukamilika safari ya kuelekea Magogoni.Wananchi wamewashika,nanyi shikamana.