Ringo Edmund
JF-Expert Member
- May 10, 2010
- 4,879
- 1,125
du EL kawajaza si mchezo. wakati wa kampeni 2015 maneno machache yatasemwa. NYERERE ALIMKATAA EL HAFAI KATU
khakha nyerere alimkataa lowasa kwa sababu ya mfumo wa ujamaa na utajiri wa lowasa,sasa hatupo tena kwenye ule mfumo tupo kwenye ubepari wa kimagharibi.
angalia marekani matajiri ndio wanaoongoza nchi,hata nyerere angefufuka leo akute ujinga unaoendelea leo angebadili mawazo.