Recent content by kaka cliff

  1. K

    Utambulishoo huu noma sana

    Kaa kitako nikueleze hiyo
  2. K

    Mtuhumiwa wa ubakaji ataka kubaka tena ndani ya jengo la mahakama

    Hiki hakiwezi kuwa ni kiu, hiyo ni kwikwi kabisa.. Maana kiu kinaweza vumilika
  3. K

    Hawa Vodacom wanaumwa!!

    Ha ha haaa
  4. K

    Polisi wenye silaha huwa wanafanya nini kwenye makutano ya barabara?

    Ni kweli mkuu, ni muhimu wao kuwepo hapo kwa kazi husika, na si vinginevyo!
  5. K

    Kijana, kujenga nyumba ni uoga wa maisha

    Nimejifunza kitu hapa kaka, asante sana
  6. K

    Polisi wenye silaha huwa wanafanya nini kwenye makutano ya barabara?

    Inawezekana mada imemgusa kwa namna moja ama nyingine, pengine na ye ni askari ndio maana hasomi hoja akaielewa anaishia kulalamika tu
  7. K

    Haya majanga: Nyoka kuwafanyia massage binadamu

    Wanaleta utani hawa watu..
  8. K

    Tabia mbaya kumi zinazofanya ushindwe kuwa na akiba "savings"

    Ni kweli kabisa, watu wengi huwa tunaishi maisha ambayo siyo yetu, mwisho wa siku tunaumia
  9. K

    Tabia mbaya kumi zinazofanya ushindwe kuwa na akiba "savings"

    Na hapa ndipo watu wengi wanapoumia
  10. K

    Hivi haya ni maendeleo au matatizo?

    Dah!, hilo neno mkuu
  11. K

    FUTUHI ndio comedians pekeee waliobaki TZ

    Futihi wanatisha Africa mashariki na kati mpaka central unaambiwa
  12. K

    Je ni uamuziii gani utachukua

    Kama ni mimi kwanza nalia, alafu nitamparura, kisha namng'ata then namalizia na bonge la ngumi la shingo kudadeki
  13. K

    Huwa najiuliza lakini nakosa jibu

    Kwa situation hyo, unakimbia kwanza then una-reason baadae
Back
Top Bottom