SHIEKA
JF-Expert Member
- Dec 20, 2011
- 8,240
- 4,270
Kuna kitu hujaelewa Eyoma. Kila mtu anatoa hisia zake juu ya Futuhi.Anayesema anaipenda Futuhi halazimishi wasioipenda waipende; na wasioipenda (kama mimi) hatulazimishi wanayoipenda waichukie. Hizo balaa unazozitajaSi kila unachochukia mwingine nae achukie tuachane na uzandiki na unafiki hapa apendae futuhi aachwe usipenda potea zako na balaa zako
ni za nini? Ila kwa kweli Futuhi imejaa utoto sana!
Last edited by a moderator: