Nkobe
JF-Expert Member
- Feb 17, 2013
- 2,230
- 3,333
Mkuu umeongea point ya Msingi ingawa kuna watu wanakubeza kwa kuwa nao walifanya hivyo. Kinachotofautisha Middle class na Rich ni jinsi ya ku allocate pesa katika maisha. Matajiri huwa wanawekeza pesa zao kwenye rasilimali zinazozalisha, lakini tabaka la kati wananunua vitu vinavyokula pesa kama magari.