za nini tena?tunamwombea sana,nadhani na LOWASSA anamwombea maana siku hizi kaokoka naenda hadi kwa tb joshua nigeria.sema tunoje september si ndo mwisho wa wanaohusika na UFISADI?
mh jamani ebu acheni mada na mijadala ya kidini tuchagueni mashehe walioenda shule muone kama watakaa kudai madia ambayo yako nje ya uwezo wa serikali...mbona chuo kikuu cha morogoro kilipotolewa watu wamekaa kimya hadi leo?swala hapo mujipange hela na sadaka zinazopatikana kwa mfano kwenye...
we mwanzisha madaa unachuki binafsi umejipanga wazi wazi tena kweupe kujaribu kumchafulia maghufuli.binafsi naona thread yako imekaa kisiasa zaidi ndani yake..itakuwa ni mwakilishi wa watu waliokumbana na marekebisho yaliyofanywa ndani ya wizara.
we chakuangalia ni kauli ya mwisho kutoka basii,kama ni ya lukuvi basi fuata cha lukuvi. mengine waachie wenyewe viongozi,,jaribu kuwashauri na wanachi wenzetu pia wasiumizwe na maswali kama yako
nchi ni moja mambo ya kujuana kwa kuangalia vichogo yashapitwa na wakati ingawa ni mbinu za wachache wanaotaka kuleta vurugu nchini kupandikiza mbege ya kutaka kuvunja muungano..ingekuwa wazanzibari wanakatazwa kufanya wanachofanya wabara hapo mada yako ingekuwa na matinki.otherwise sijaelewa...
angezitumia kwa mambo yake mengine baada ya kukosa hata zile za malipo ya miaka tano akiwa mbunge na akiziingiza katika ngwe ya 2015,ni mawzo yangu tu hayo kwa mpenda zoe.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.