emmanuel1976
JF-Expert Member
- Jun 17, 2011
- 301
- 79
Hapo walipofika kwa ajili ya ukombozi wa nchi yetu ni patanu sana...ni vita kali dhidi ya uchaguzi wao 2012 na kinyang'anyiro cha urais 2015..ki-mchezo chezo tutawapoteza baadhi yao
nimesoma gazeti la jambo leo limemnukuu nape akisema roho yake ameikabidhi kwa mungu katika wakati huu mgumu wa vita dhidi ya mapapa ccm
<br />Nimesoma gazeti la JAMBO Leo limemnukuu Nape AKISEMA Roho yake ameikabidhi kwa MUNGU katika wakati huu MGUMU WA vita dhidi ya mapapa CCM