abdulahsaf
JF-Expert Member
- Aug 31, 2010
- 858
- 130
Mimi huchangazwa na Wtanganyika ukisema kuhusu kero za Muungano na kasoro za Muungano hujaa juu na kubadilicha topic na kusema tutawahamicha wzanzibar waloko Tanganyika na hatuto wauzia vidunguu na mbatata kutoka Tanganyika ok.
Sasa hawa Wtanganyika walojazana mitaani na kwenye fukwe za Zanzibar na watoto wao (beaches) tuwafanye nini na chuhulizao ni nini?.
YouTube - KIWENGWA BEACH ZANZIBAR
Sasa hawa Wtanganyika walojazana mitaani na kwenye fukwe za Zanzibar na watoto wao (beaches) tuwafanye nini na chuhulizao ni nini?.
YouTube - KIWENGWA BEACH ZANZIBAR