Nategemea tunayo yaona Kagera,Kigoma,huwezi kuyaona Ruvuma,Mtwara,Arusha, nikimaanisha Mikoa yote imepakana na majirani zetu,ila naona maongezi na mijadara mingi na muingiliano hupo katika mikoa miwili,
Kwanini siyo Jaruo ,Masai,Mngoni,Mmeru nk, Ila Murundi na Mnyarwanda ndo sumu.
Tunaomba...