Anayemjua Fundi Mzuri wa Suti-Dar

Anayemjua Fundi Mzuri wa Suti-Dar

Habarini wadau.
Nahitaji kushonesha suti za Harusi, nipo Dar kwa yeyote anayemjua Fundi mzuri aniwekee namba zake hapa tafadhali. Please aliye na reasonable price. Thanks

kwani umejipangaje???, heria ngoi suti ni USD 1,500 (millioni tatu na usheei, upo hapo!)
 
Habarini wadau.
Nahitaji kushonesha suti za Harusi, nipo Dar kwa yeyote anayemjua Fundi mzuri aniwekee namba zake hapa tafadhali. Please aliye na reasonable price. Thanks

Boss wangu naomba nicheck kwa mamba hii. 0715868672. Na uhakika nguo zako zote utakuwa unakuja kwetu. Tuko Mikocheni
 
Boss wangu naomba nicheck kwa mamba hii. 0715868672. Na uhakika nguo zako zote utakuwa unakuja kwetu. Tuko Mikocheni
Nitakupigia unipe ramani leo nakuja hapo Mikocheni mkuu
 
habari ninaye fundi ambaye anashona suti na nguo za harusi vizuri sana je umeshapata au bado kama bado nipm mkuu

kingine mm ni mtaalamu wa kutengeneza keki za sherehe mbalimbali, napamba kwenye maharusi na mahotel na mahall na vileivile natengeneza kadi za mialiko na kadi za sendoff, kipaimara, kitchen na bag partry karibu kwa huduma zangu ni iko dar pia,

na kama unataka kuboresha harusi yako ninafanya wedding planner pia na vilevile naagiza nguo za bi harusi toka nje karibu kwa huduma zangu hizi kwa quality nzuri na bei poa
Habarini wadau.
Nahitaji kushonesha suti za Harusi, nipo Dar kwa yeyote anayemjua Fundi mzuri aniwekee namba zake hapa tafadhali. Please aliye na reasonable price. Thanks
 
Nauliza tu
kushona suti ni better kuliko kununua iliyo tayari?
hasa kama bei hazitofautiani sana?

je hizi za kushona bei zina range vipi?
 
Nauliza tu
kushona suti ni better kuliko kununua iliyo tayari?
hasa kama bei hazitofautiani sana?

je hizi za kushona bei zina range vipi?
Za kushonesha kwa mtazamo wangu ni BEST, inakuwa outfit!!! Hauhitaji kupunguza mikono sijui kiuno nk...So Super!!
 
Hawa ni waongo sana... Kuna jamaa yangu wamemtenda vibaya.
Kwa utaalamu wako vizuri ila na longo longo pia hawako nyuma. Ukitaka vizuri jiandae kutandikwa manake bei zao za kisoro sana halafu kwa sasa malalamiko yameongezeka. watu wanawalalamikia sana huduma zao.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom