Chakaza
Kubwa zima unamsikiliza Mange Kimambi,wale ni askari as JWTZ,POLISI,MAGEREZA NA JKT wote pamoja walishiriki mazoezi ya utayari, hata yule kiongozi wa JW aliyehojiwa humjui?hivi Mange kawaloga na nini mpaka kila analosema mnaliona la kweli?
Enzi hizo mnapinga na wenzako "mputo" yani ukishika kitu chchte kizembezembe mwenzako anakiputa na kinakua chake,sasa umeputwa fagio lako then mko mstarini mwalimu anakagua mafagio....daah inauma sna
Sent from my SM-J100H using JamiiForums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.