Enzi zetu bwana!! Mambo yalikuwa hivi...

Mwalimu kitogo wa nzasa primary alikuwa mwiba sn kwenye mambo ya table alipelekea nikikose kipindi chake kwa kukaa chimbo
 
Maisha yalikuwa na thamani sana kwasababu yaliusisha upendo wa mtu na mtu tena ule wa dhati

Siku hizi upendo ni msamiati mgumu sana, unafiki ndo kinachoendelea sahivi hapa duniani
 
Kuna shule ya msingi moja ilikuwa kazi ni kuwatumikisha wanafunzi kama vibarua katika mashamba ya wanakijiji. Mwanzoni tulikuwa tunakwenda huko mashambani kulima mchana/jioni baada ya masomo. Baada ya hela kukolea, kukaanza kwenda saa za asubuhi. Kuna wakati tulikuwa tunaambiwa kuwa kesho asubuhi msije shuleni hapa, tuonane kwenye shamba la mzee fulani ambalo liko sehemu fulani na majembe yenu.
 
Nakumbuka tulikua tunachukua Atlas na kutafuta ramani mojawapo kisha tunacheza mchezo wa kutafuta,

Yaani unachagua jina la nchi au mji kwenye hiyo ramani kisha umamwambia mwenzio;

"Nionyeshe mji fulani uko wapi?"

Hii ilitujenga sana kujua miji na nchi za dunia nzima,
Kitambo sana.

Mkuu hii niliifanya sana primary school na ilisaidia sana. Atlas yote ilikuwa mu kichwa. Siku hizi ni majanga tupu na vitabu vya nyangwine!
 
Lakini lile la zamani lazima aligonge muhuri au alichane kidogo kama alama ili usirudi na hilo hilo daftari tena coz ya kubadilisha na kupewa jipya,ilikua ni lazima kujaladia daftari kwa kutumia karatasi za mifuko ya Smenti.
Kupewa daftari jipya baada ya la zamani kujaa? Wewe ni mkongwe mwenzangu. Enzi ya Nyerere hiyo. Sisi ndio tuliomalizia malizia huo utaratibu. Hapo ndio kulikuwa na elimu bure ya kweli. Haya mengine maigizo tu.
 
Walioishi mikoani ukipigwa ngwala na MTU kutokea dar tulikuwa tunaita ki darslaam
 
Nakumbuka tulikua tunachukua Atlas na kutafuta ramani mojawapo kisha tunacheza mchezo wa kutafuta,

Yaani unachagua jina la nchi au mji kwenye hiyo ramani kisha umamwambia mwenzio;

"Nionyeshe mji fulani uko wapi?"

Hii ilitujenga sana kujua miji na nchi za dunia nzima,
Kitambo sana.
Tulijengeka sana kijiografia
 
Ukiondoa hyo no6 mengine yote tuliyaishi its true.cye kpnd hicho shulen km cyo mtoto wa Mwl,Dr, au Afsa mifugo,Afsa elimu kata,au bw Shamba huvai viatu.wkt wa umishumta mnaweza kugongana w/ funzi 3 kwa mtu mmoja kuazma viatu ili mkaimbe kwaya au ngonjera.
 
Back
Top Bottom