Ambilikisye anna
JF-Expert Member
- Oct 2, 2017
- 561
- 499
Hahahha hakika umenifurahisha jamani...na nimekumbuka mbali duhh uhenga kumbe ni mzuri sana
Nitafutiee... HanoiNakumbuka tulikua tunachukua Atlas na kutafuta ramani mojawapo kisha tunacheza mchezo wa kutafuta,
Yaani unachagua jina la nchi au mji kwenye hiyo ramani kisha umamwambia mwenzio;
"Nionyeshe mji fulani uko wapi?"
Hii ilitujenga sana kujua miji na nchi za dunia nzima,
Kitambo sana.
Ahahahaaa! Dah! Nimecheka sana hii! Halafu zipu ikikufinya dudu eti unainama kupunguza maumivu.Enzi zetu ukivalishwa nguo lazima zipu ikufinye dudu
Hii ilikuwa ni sayansi ya kujikimu. Kukufundisha mbinu mbali mbali za kumudu harakati za maisha ya kila siku.Mitihani ni LUGHA, MAARIFA na HISABATI. Hisabati hakuna swali la kuchagua hata moja.
Kitu ambacho sikukielewa wakati huo hata leo ni neno SAYANSI KIMU. Huenda hata ww unaesoma hapa hukijui.
Hili somo tulikua tunafundishwa mpaka jinsi ya kupiga mswaki.Hii ilikuwa ni sayansi ya kujikimu. Kukufundisha mbinu mbali mbali za kumudu harakati za maisha ya kila siku.
Nilijifunza kunyoosha, kupika ubwabwa .. Kuchemsha maji ya kunywa.. Hili somo linapaswa kurejeshwa mashuleni.. Hapa ndipo ustaarabu unapofundishwa.
Kuna hili somo ..na somo la Siasa na Uraia lilifutwa miaka ya tisini katikati.. Nimekuja kugundua yalikuwa masomo muhimu sana..Hili somo tulikua tunafundishwa mpaka jinsi ya kupiga mswaki.
Hahah!! Ache tu mkuu hii moment ilikua hatari sana alafu mbaya zaidi nipale dudu inaponasuliwa kutoka zipuniAhahahaaa! Dah! Nimecheka sana hii! Halafu zipu ikikufinya dudu eti unainama kupunguza maumivu.
Na chanzo chote kilichosababisha hiyo ajali coz tulikua hatuvai chupi ndani kabla ya nguo ya nje.Hahah!! Ache tu mkuu hii moment ilikua hatari sana alafu mbaya zaidi nipale dudu inaponasuliwa kutoka zipuni
Vipi alikuwa anakupa na wewe mgao kidogo?Mwalimu Tunda pale kurasini primary kaniuzisha sna toffee zake na ubuyu daah....ilikua ukiwahi kufika shule tu anakupa box la toffee uuze
Hakuna cha mgao wala nn mkuu sana sana siku hiyo hauchapwi tuVipi alikuwa anakupa na wewe mgao kidogo?
aisee hii ni kweli mkuu, watoto wa siku hizi wanazingatia vazi la ndani ndio maana hawapati hiyo ajariNa chanzo chote kilichosababisha hiyo ajali coz tulikua hatuvai chupi ndani kabla ya nguo ya nje.