Recent content by Kabhundulee

  1. K

    Zito kuchemsha

    Tena pamoja na msomi asiejitambua kama wa magamba a.k.a mfuata mkumbo
  2. K

    Ndoto "mpya" ya kakobe yaitesa ukawa!

    Kumbe Katortoise nae anatoa baraka badala ya Mungu na kumbe ndio mwenye kujua mustakabali wa harakati mbali mbali? Nahisi kawa mrithi wa yahaya mtabiri....AMEFUA
  3. K

    Jimboni Kalenga: CCM wamsimamisha Geodfrey Mgimwa kugombea ubunge

    Hapa ndipo huwa nashindwa kuielewa nchi yangu pendwa Tanzania,YAANI KILA KITU KINATAKA KUWA NI ISHU YA KIFAMILIA ZAIDI, WHYYYYY.....????
  4. K

    CCM kuhamisha happy birthday ni dalili ya nini?

    Juma pili pia ni siku ya watu kwenda kanisani kusali kwa hiyo napo si haki kama wamehamishia jumapili....
  5. K

    Dr.Kitila Mkumbo: Tunahitaji mbadala wa CCM na CHADEMA

    Je katika utamaduni wa chama kimoja si ndio KUNA UTAMADUNI KAMA HUO MLIO TAKA ANZISHA WA KUJENGA MITANDAO? AND DR. DO U THINK THAT THE TIME WAS PROPER FOR YOU GUYS TO DO WHAT YOU HAVE DONE ? WE ALL KNOW THAT, MTANDAO HULETA MGAWANYIKO JE WAS THAT YOUR FINAL AIM OF DOING ALL THIS AND HOW CAN WE...
  6. K

    Dr.Kitila Mkumbo: Tunahitaji mbadala wa CCM na CHADEMA

    Dr. Katika hali ya kawaida,y MKAKATI UWE SIRI YA WACHACHE? KAMA NIA NI NJEMA KAMA UNAVYO DAI NA WENZAKO? JE UTATAFSIRI VIPI IWAPO MWANAO AU NDUGU YAKO ANAJIPANGA KUCHUKUA MAMLAKA YAKO KATIKA FAMILIA YAKO KWA NJIA NA HARAKATI ZA SIRI AMBAZO LABDA KWA BAHATI MBAYA UKAJA GUNDUA? JUST BE REAL.....
  7. K

    Nahitaji mchumba:

    Ndugu acha ukabila kwani wakurya kama vipi hawastahili kupata wenza? Labda kwa kukufafanulia ni kuwa kama kuna mtu inamhusu nimeomba aingie kwenye pm tuongee zaidi,nia ipo kwa mtu SERIOUS
  8. K

    Nahitaji mchumba:

    Kwa nwanamke alie serious ani pm,umri wake usizidi miaka 28 na di chini ya 23.KARIBUNI
  9. K

    Chadema kusambaratika?!

    Je umefanya uchunguzi gani kujua hiyo idadi ya wafuasi wa z? KWA UPANDE MWINGINE UPO SAHIHI KWANI HAYO NI MAWAZO YAKO BINAFSI NA WAFUASI WAKO.
  10. K

    Mbeya City Football Club - Special Thread!

    a love my home team,uzalendo kwanza hata kama tupo kimaisha ugenini
  11. K

    Uchochezi wa Dr. Slaa na utembezi wake wa vyuoni Marekani. Iweje aruhusiwe?

    mkijenga chenu lhemi mkisaidiwa na wachina hapo mtaweza kukitembelea wenyewe mueneze ch.ki zenu
  12. K

    Mangula: Najuta kuishi jimbo la Halima Mdee

    Alisema "NITAKISAFISHA....NDANI YA MIEZI SITA KUANZIA SASA" Kumbe ni biti ya santuli kama kawa..?
  13. K

    Dr Slaa atinga kwenye media za Kenya

    This is how we go,A LOV E UR MOVES DR. SLAA
  14. K

    Dr. Slaa ndani ya Indianapolis Radio

    Funguka wewe...
Back
Top Bottom