Kumbe Katortoise nae anatoa baraka badala ya Mungu na kumbe ndio mwenye kujua mustakabali wa harakati mbali mbali? Nahisi kawa mrithi wa yahaya mtabiri....AMEFUA
Je katika utamaduni wa chama kimoja si ndio KUNA UTAMADUNI KAMA HUO MLIO TAKA ANZISHA WA KUJENGA MITANDAO? AND DR. DO U THINK THAT THE TIME WAS PROPER FOR YOU GUYS TO DO WHAT YOU HAVE DONE ? WE ALL KNOW THAT, MTANDAO HULETA MGAWANYIKO JE WAS THAT YOUR FINAL AIM OF DOING ALL THIS AND HOW CAN WE...
Dr. Katika hali ya kawaida,y MKAKATI UWE SIRI YA WACHACHE? KAMA NIA NI NJEMA KAMA UNAVYO DAI NA WENZAKO? JE UTATAFSIRI VIPI IWAPO MWANAO AU NDUGU YAKO ANAJIPANGA KUCHUKUA MAMLAKA YAKO KATIKA FAMILIA YAKO KWA NJIA NA HARAKATI ZA SIRI AMBAZO LABDA KWA BAHATI MBAYA UKAJA GUNDUA? JUST BE REAL.....
Ndugu acha ukabila kwani wakurya kama vipi hawastahili kupata wenza? Labda kwa kukufafanulia ni kuwa kama kuna mtu inamhusu nimeomba aingie kwenye pm tuongee zaidi,nia ipo kwa mtu SERIOUS
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.